11 July, 2011

JE, UNATAKA KUA KIONGOZI?

MAMBO YA KUKUSAIDIA KUA KIONGOZI


Kiongozi ni mtu ambae amejifunza na amejua kufikiri na kuamua kwa niaba ya wale anaowaongoza kwa nia ya kuwashawishi waelekee anakoelekea.

Vitabu hivi vitakupa muongozo mzuri kusoma watu ambao waliweza kuwa viongozi katika umri mdogo na wakafanikiwa katika uongozi wao:
2 Wafalme 15: 1-3
2 Wafalme 21:1
2 Wafalme 22:1
2 Wafalme 23:7


                 


1: Kuwa mwangalifu katika kufuata mawazo ya viongozi waliokutangulia kwasababu si mawazo yote ya viongozi waliokutangulia ni mazuri

     2: Usipoteze muda kwenye kusoma! Unaweza kusoma sana lakini usipate ajira...! Hii ni kutokana na soko  la ajira lilivyo na ushindani na lenye kuhitaji watu wenye uzoefu wa kazi huku wakiangalia umri!

3: Tembelea watu unaowaongoza/ unaotarajia kuwaongoza mara kwa mara, sikiliza shida zao na uyafanyie kazi kwa kutatua matatizo yao.

3 comments:

  1. Ibrahim Nganico: Mi Sanaa niwe fisadi coz 'In this world if you are not doing what the rest are doing thats a crime'

    ReplyDelete

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...