TRUE HAPPENED ADVERSITY / MIKASA YA KWELI

 

 

 

 


Ama kweli dunia ina mambo, na ukistaajabu ya Mussa kweli utayaona ya Firauni kwa mwalimu huyu wa Sekondari ya Kibasila Jijini Dar es salaam ambapo katika hali isiyo ya kawaida Mwalimu Gaudensia Missanga wa shule ya Sekondari Kibasila anayefundisha masomo ya Biolojia na Kemia amekutwa akiishi na lundo la kinyesi cha binadamu chumbani kwake kwa muda mrefu, katika eneo la Temeke Kisiwani.
Mwalimu huyu anadaiwa kuishi katika chumba ambacho amehifadhi kinyesi hali ambayo inatishia usalama wa afya yake.
Hebu jenga picha, mwalimu wa shule ya Sekondari halafu anaishi ndani na kinyesi! Hivi hii imekaaje?
Tukio hilo la mwalimu huyo kuishi na mrundikano wa uchafu huo liligundulika siku tatu zilizopita eneo la Yombo Kisiwani, Kata ya Sandari wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Jinsi tukio hili lilivyotokea
Mmiliki wa nyumba aliyopanga mwalimu huyo, Ruben Shayo aliliambia gazeti moja hapa nchini kuwa Februari 22 mwaka huu, ulionekana moshi kwenye chumba cha mwalimu huyo, ambapo wapangaji wengine walimjulisha na kwenda kuushuhudia moshi huo ili kuweza kujua chanzo chake.

Alisema baada ya kufika kwenye chumba hicho waliona moshi mwingi ukitokea madirishani na kufanya juhudi za kuingia ndani ili kuuzima moto huo, ambapo walijaribu kumuita mwalimu huyo kwa muda mrefu pasipo majibu, lakini mwalimu huyo hakutoka hadi pale walipomwambia kuwa watakwenda polisi.
Baada ya kuitikia, ilibidi kumuita mwenyekiti wa mtaa ili waweze kuingia ndani kwake kuangalia hali ilivyo kwenye chumba chake.
‘’Tuliona funza wakitoka chini ya mlango wake na harufu mbaya ikitoka na mwenzetu hatujawahi kumuona akioga wala akiingia chooni ndiyo tukabaini hali hii,’’alisema Shayo.
"tulipoingia ndani tukakutana na nguo zikiwa zimezagaa na kuonekana kuwa alikuwa akichoma nguo zake”alisema.
Mbali na hayo pia waliona vyombo mbalimbalia ambavyo vilikuwa vimehifadhiwa kinyesi na mkojo, huku kukiwa na funza na mende wakiwa wamezagaa hadi kitandani.
Pamoja na hayo alivitaja baadhi ya vyombo ambavyo alikuwa amehifadhia kinyesi hicho ni ndoo, sufuria, chupa na mabeseni na harufu kali ya kinyesi ikitapakaa ndani.
Kwa upande wake mwalimu Gaudensia anayetuhumiwa kuishi na kinyesi kinachodhaniwa kuwa ni cha binadamu hakuweza kupatikana kujibu tuhuma hizo na alipopigiwa simu yake ya mkononi ilikuwa inaita bila majibu.
Tukio hilo limeonekana la kustahajabisha kwa waliowengi kutokana na kitendo cha mwalimu huyo kuishi na uchafu huo ndani ya nyumba yake.




Moshi. Jeshi la Polisi wilayani hapa,
limedai kuwa watoto waliokutwa ndani ya
nyumba katika eneo la Pasua, Manispaa
ya Moshi siyo wakazi wa Kilimanjaro na
walikuwa wakiishi kwenye mateso
makubwa.
Taarifa iliyotolewa jana na Kamanda wa
Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey
Kamwela imeeleza kuwa hayo yalibainika
katika mahojiano baina ya watoto na
askari wa dawati la jinsia.
Alisema watoto hao wanatoka mikoa
mbalimbali ikiwamo Tanga, Mara, Kagera,
Mbeya na Dodoma.
Kamanda Kamwela alisema pia
wamegundua kuwa watoto walikuwa
wakiishi kwenye mazingira magumu
ikiwamo kulala chini katika chumba
kidogo.
Alisema polisi linawashikilia watu wawili
(mume na mke) ambao wanatuhumiwa
kuwahifadhi watoto hao.
Kamanda huyo alisema watoto hao wana
umri wa kwenda shule, lakini walikuwa
hawasomi.
Alisema polisi wanachunguza aina ya
masomo ya dini waliyokuwa
wakifundishwa.
“Lazima tuchunguze uhalali wa masomo
ya dini waliyokuwa wakisoma ili tujue
kama kweli watoto hawa walipelekwa na
wazazi wao au la, kwa kuwa watoto hao
walipaswa kuwa shuleni” alisema
Kamanda Kamwela.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus
Makunga alisema watoto hao walikuwa
wakiishi kwenye mazingira magumu,
huku wakipewa adhabu kali ikiwamo
kubeba matofali mgongoni pindi
wanapokosea.
“Maelezo ya watoto yanaonyesha
walikuwa wakiteswa, adhabu hizi kwa
watoto ni kubwa, bado tunawachunguza
ili tujue kila kitu na walichukuliwaje
huko majumbani kwao,” alisema
Makunga.
Alisema kwa wazazi watakaowatambua
watoto wao, wanapaswa kwenda na
uthibitisho ikiwamo cheti cha kuzaliwa au
uthibitisho mwingine utakaoonyesha ni
mzazi halisi.
Makunga alisema uchunguzi wa awali
umeonyesha kuwa, watuhumiwa hao
wana kituo kingine kinachohifadhi
watoto.

 

Josephine Joseph's photo.

 

Kenya:Binti wa miaka kumi(10) ajifungua mtoto wa kiume
GLADYS CHELAGAT.AKIWA NA MTOTO WAKE.
Wakati wanaharakati mbali mbali duniani wakipambana kupinga ukatili kwa watoto, huko nchini Kenya mtoto wa miaka 10 ambaye angetakiwa kuwa shuleni akisoma na kucheza na wenzake michezo mbali mbali, anapata jukumu la kumlea mtoto mwenzake. Gladys chelagat, anakuwa mama mdogo kabisa duniani baada ya kujifungua mtoto wa kiume jumamosi iliyopita akiwa na umri wa miaka kumi tu (10). mtoto huyu alijifungua mtoto wake wa kiume mwenye uzito wa kg 2.8 katika hospital ya kericho nchini kenya.Hata hivyo Mungu ni mkubwa kwani pamoja
na udogo wa mtoto huyu alijifungua sa
lama bila ya kupata tatizo lolote la kiafya.

 

MWANAMKE ACHOMWA KISU NA MUMEWE SEHEMU TATU TOFAUTI ZA MWILI WAKE NA KUFARIKI - MBEYA.

Mbeya.
Mwanamke mmoja aitwaye Ashura Rashid (28), mkulima na mkazi wa Lupa, Wilaya ya Chunya, Mkoani Mbeya amefariki baada ya kuuawa na mumewe kwa kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake kichwani, mgongoni na mkono wa kushoto.

Mkasa huo umetokea Aprili 9 mwaka huu majira ya saa 10:30 jioni eneo la Kibaoni wilayani humo, huku mumewe aliyefahamika kwa jina la Levocatus Ernest (25) kutoroka mara baada ya kutenda kosa hilo la mauaji.

Chanzo cha mauaji hayo ni mzozo mkali uliozuka nyumbani hapo baina yao hali iliyompelekea mtuhumiwa kuchukua kisu na kuanza kumshambulia marehemu mkewe hadi kumsababishia kifo papo hapo.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa Barakiel Masaki, amethibitiosha kutokea kwa tukio hilo na kwamba Jeshi lake linafanya jitihada za kuhakikisha linamtafuta Levocatus Ernest, ili kumfikisha mikononi mwa sheria.

Hata hivyo amesema kuwa upelelezi wa tukio hili unaendelea, lakini kumekuwa na matukio mengi hivi karibuni mkoani Mbeya ya wanawake kuuawa, chanzo kikubwa kikiwa ni wivu wa kimapenzi jambo ambalo linapaswa kukemewa kwa nguvu zote.










MUNGU ATAMPONYA; AMEN!

*USIUDHARAU UJUMBE HUU UNA MAANA
KUBWA KWAKO TAFADHALI SOMA *
Mambo yote yalianza pale baba yangu
aliponilazimisha kuolewa na mwanamme ambaye
hakuwa chaguo langu.
Mme huyu alikuwa mlevi kupindukia, hajithamini
yeye na kunithamini huku kila siku akinipiga na
kuna siku nikiwa na mimba alinipiga na
nikaangukia tumbo sakafuni
Wakati huo nilikuwa na ujauzito wa miezi 8 na
siku kadhaa na nilikuwa nimebakiza siku
zisizopungua 15 ili nijifungue. Siku ya pili asubuhi
baada ya kuyavumilia maumivu makali kwa usiku
mzima nilienda nyumbani kwa mama na
akanichukua mpaka hospitali ambako nililazwa
huko mpaka itakapofika siku ya kujifungua.
Siku moja daktari alikuja asubuhi na kunifanyia
uchunguzi na baadae akaniambia nimebakiza siku
tatu ili nijifungue lakini nitatakiwa kufanyiwa
upasuaji wa haraka ili niokoe maisha yangu kwani
kwenye utumbo kuna tatizo limeonekana na
linaweza kunipotezea uhai wangu.
Nikamuuliza kama mtoto atakuwa tumboni
salama lakini daktari akaniambia kuna uwezekano
mtoto atakuwa amekufa kwa hali ilivyo.
Nilifanyiwa upasuaji na mtoto alitolewa ingawa
alikuwa dhaifu na hana nguvu akawekwa kwenye
oxygen na kwa bahati nzuri akapona na kuwa
mzima.
Nilitolewa kizazi kwa kuwa kulikuwa na tatizo
lililosababishwa na kuanguka kule na nikaambiwa
sitaweza kuzaa tena.
Sikurudi tena kwa mme wangu na kuamua kuanza
maisha yangu nikimtunza mtoto wangu, nikampa
elimu kwa kipato changu kidogo nilichokuwa
nikipata mpaka akahitimu chuo kikuu miaka
miwili iliyopita.
Mwa neema na mapenzi ya Mungu kijana wangu
akapata kazi na kuwa msaada wa kutatua matatizo
ya familia kwa kuutumia mshahara wake kwa
matumizi yangu pale nyumbani ya yeye huko
mjinii.
Tarehe 12 ya mwezi wa sita akaniita niende mjini
ambako alikuwa akifanya kazi ili anipe zawadi kwa
ajili ya siku yangu ya kuzaliwa ambayo ilikuwa ni
tarehe 15 ya mwezi huohuo.
Siku ya tarehe 14 nikaenda nikiwa njiani nikawa
nampigia simu lakini akawa hapatikani nikaenda
mpaka nilipofika nyumbani na kuona mlango uko
wazi nikakimbia kuingia ndani bila kuogopa ili
kumsurprise mwanangu nakuiona zawadi lakini
kwa mshangao nikaona mwanangu kalala chini ya
zulia akiwa nusu ya kufa.
Pale nyumbani kila kitu kilikuwa kimeibiwa
nikakimbia kutoka nje na kuwapigia polisi na
kutafuta gari na kumpeleka hospitali ambako
tangu kipindi hicho mpaka sasa amekuwa
mahututi akisaidiwa kupumua kwa msaada wa
mashine na hajafungua jicho.
Nimekuwa nikilia kila siku nikiwa pembeni ya
kitanda chake na naamini siku akifa nami naweza
kufa kwani ni kila kitu kwangu na tumaini langu
kwa sasa na ndio mwanangu wa pekee na kamwe
sitaweza kuja kuwa na mwanangu mwingine.
Tafadhali naomba uwe nami katika maombi ili
mwanangu asife na kuwa mzima na kuendelea na
majukumu yake.. Naumia kwani badala ya
kupokea zawadi sasa nimepokea majuto, kilio,
huzuni na majonzi.
"Natambua kuna watu hivi sasa wana maumivu
na majonzi yenye maumivu makubwa zaidi ya
haya yangu, lakini naomba usilidharau hili kwani
hata wewe hujui nini kipo mbele yako au kwa
wale uwategemeeao"
Ungana nami katika maombi ili Mungu
aibadilishe hali ya mwangu na kuwa njema nasi
tuzidi kumshukuru yeye kwani ndiye mlinzi wetu
na familia zetu.....
Comment AMEN Kama umeguswa na habari hii
ya kuhuzunisha inayonikumba mimi na
mwanangu kwa wakati huu na share ili watu
wengi wasome ujumbe huu

 

 

 

 

MKE WANGU ANANIZIDI AKILI NA MBINU... KUTWA NZIMA NA SIMU, YUPO KILA SOCIAL NETWORK

Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo. 

Mke wangu sasa ananizidi akili na mbinu. 

Nilimnunulia smartphone ya bei kama laki 7 aina ya Samsung, yapata miezi minne sasa tangu awe nayo. 

Kinachoniumiza sasa hivi kazi zote ni msichana wa kazi.

Yeye hapiki, hapigi deki na hafui, muda wote yuko bize na simu yake. 

Pia amejiunga social networks zote kama twitter, badoo, facebook, whatsapp, tango, we chat na instagram na nikitaka kupigana naye basi nimuombe pasword zake, hapo yupo tayari kurusha ngumi. 

Usiku analala saa saba na akiwahi ni saa 6 usiku.

Yupo bize,  nampenda sana na nahofia kumpoteza. Jamani nifanyeje? Vita nyingne ni pale anapoishiwa pesa ya bando, yani anadai pesa ya vocha kwa lazima mpaka nitaitoa. 

Mitandao yote ameweka profile picture nzuri na tena Mungu a
memjalia uzuri kama kabila lake Wairaq (wambulu) walivyo.

Anapotaka kubadilisha profile picture hapo ndo naumiaga zaidi sababu anajimek up na kutoa nguo zaidi ya 5 na anavaa moja moja huku msichana wa kazi anampiga picha tofauti tofauti na yeye huangalia ile aliyopendeza.

 
 KILA  MWANAMKE NINAEMTONGOZA ANATAKA PESA
 Mimi ni Kijana wa miaka 25 ninafanya kazi bank moja hapa Mjini ..nimefikia umri wa kutafuta mchumba wa kuoa ila hawa mabinti sijui wakoje kila ninaye mtongoza haipiti siku ananiomba hela kwa visingizio mbali mbali na mimi demu akishaniomba hela design hii hapo hapo naona sio namuona kimeo ndio wale wale ....Kwani Mapenzi siku hizi lazima usambaze Hela kwanza ndio upendwe ama? Naomba ushauri


 KISA CHA DADA HUYU KITAKULIZA
Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini dare s salaam, katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile , basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na bosi wangu .
Ukizingatia kwamba sikuwa na mume wala mchumba na kwa kweli huyu bosi ndio alikuwa mtu wa kwanza kufanya nae tendo la ndoa, hivyo nilifurahia mhemko wake na jinsi alivyokuwa ananipenda na kunijali kila kitu nilipata na zaidi .
Alifanya yote haya bila kunificha kwamba ana mke na watoto nyumbani kwake kwahiyo wakati mwingine chochote kinaweza kutokea nijiandae kwa shuguli hiyo pevu kama mke wake akishtukia dili hilo.
Tulikuwa na uhusiano na huyu bosi kwa miezi 4 hivi mpaka siku moja katika tembea tembea mitaani nikakutana na kijana mmoja mtanashati akanieleza kwamba ananipenda na kunizimia sana yaani ameshanifia
Huyu kijana alihangaika kwa mwezi mzima mpaka siku nikaja kumkubalia akawa ndio mpenzii wangu halali sasa , nilimwamini sana na yeye aliniamini pia , miezi 3 tokea kujuana na huyu kijana aliniambia kuhusu kufanya nae tendo la ndoa .
Nilifikiria sana wakati mwingine nilitaka kulia jinsi alivyokuwa ananishika na kuniomba tendo la ndoa akiwa chumbani kwangu , alijaribu kunishika sehemu kadhaa akanivua nguo nami nilimtolea nje nilimkatalia .
Basi siku moja nikamwomba tukaangalie afya zetu , kijana wa watu alikasirika sana wiki nzima hakufika nyumbani kwangu wala kunipigia simu , kumbe alitaka tufanye tendo la ndoa bila kinga? Sasa ningejuaje kuhusu afya yake? Au ananiamini nini mimi?

Maisha yaliendelea na mambo mengine yaliendelea tu wiki ya 3 alinipigia simu akaniomba msamaha turudiane na alikubali kwenda na mimi kupata vipimo vya afya zetu kujua kwanza kabla hatujaanza mambo mengine yoyote yale.
Basi ndio hivyo majibu yaliyoka mazuri, nilimpa penzi bila hiyana wala aibu yoyote , yeye mwenyewe alifurahia mambo yangu na kwanza alikuwa anatoroka nyumbani kwao kuja kulala kwangu wakati mwingine mwezi mzima .
Tuliendelea kwa miezi kadha na huyu kijana huku na mimi nikiwa na bosi wangu kule kazini, basi bwana siku moja , sisi offisini tulitakiwa kwenda kutoa damu hospitali ya muhimbili katika maadhimisho ya siku ya afya duniani . Watu walipimwa afya zao na mimi nilipimwa, majibu yangu yalikuwa ya kutatanisha sikuamini macho yangu wala masikio yangu, nilienda hospitali ingine napo majibu yalikuwa yale yale kwamba nimeathirika na UKIMWI .
Haya majibu yalimfikia mpaka bosi wangu nae akatambua hilo akasikitika sana na yeye alivyoenda kupimwa akakutwa hajaathirika, basi nikajua moja kwa moja ukimwi nimepata kutoka kwa yule kijana wa mitaani na sio mtu mwingine .
Nikamwomba huyu kijana tukaangalie afya zetu kwa mara ingine tena hospitali, tukaenda kule kupima afya zetu, yeye ndio alikuwa wa kwanza kupokea majibu yake , alikutwa ameathirika akapata mshituko wa ghafla.
Mshituko huo ulimpelekea aanguke chini na kuzimia watu walienda kumbeba na kumpeleka hospitali kupatiwa huduma ya kwanza basi hapo ndio magonjwa mengine yalianza kujitokeza na kujulikana sana .
Kumbe huyu kijana alikuwa na urafiki wa kimapenzi na shugamami mmoja mtaa wa pili huyu shuga mami mume wake alifariki dunia miaka 5 iliyopita kwa UKIMWI watu wanasema TB sijui, ndio huyu kijana kuona zile pesa za shuga mamy akaenda kwake .
Kijana aliumwa kwa miezi 3 hivi kisha akafariki dunia akaniacha duniani mwenyewe, kule kazini nilifukuzwa kaza na bosi wangu kisa nilitaka kumwambukiza ugonjwa wa ukimwi, lakini siku moja alinipigia simu kunieleza kwamba mke wake ameathirika na UKIMWI pia lakini yeye anasema hajaathirika .
Hapo ndio nilishangaa sana, kwanini mke wa aathirike yeye asiathirike au mke wake nae alikuwa anatoka nje ya ndoa bila mume wake kujua? Basi hiyo ni siri yao nyumbani kwao mimi hayanihusu .
Lakini ndio hivyo nilikuwa nimeshaathirika na UKIMWI kazi nimeshafukuzwa sina cha kufanya wala kutafakari nilifikiria zaidi kuhusu ugonjwa wangu wa UKIMWI na jinsi nitakavyoweza kuishi maisha marefu kwa matumaini.
Baada ya kuona maisha magumu na sina lolote la kufanya mimi kama mwanamke mrembo na mwenye mvuto niliamua kutafuta njia rahisi zaidi ya kujipatia kipato nilifikiria njia nyingi sana ambazo zingeweza kunipatia angalau mlo na mavazi katika siku zangu za maisha zilizobakia baada ya kugundulika nina virusi vya ukimwi
Nikaanza kutafuta sehemu ambazo naweza kuuza mwili wangu kwa pesa za chapchap niweze kuendeleza maisha yangu ya kila siku , nilikuwa na ramani yangu kwanza pale OHIO, JOLLY, MACHENI , BILLS NA LATAVERNA hizo ni sehemu 5 kuu za starehe jijini Dare s salaam kwahiyo huko naweza kufanya kazi za kujiuza kwa wiki nzima kila siku bila kuchoka.
Ohio ilikuwa nzuri ila tatizo lake ni kwamba kila anayepita pale anakujua halafu unatakiwa uonyeshe maungo yako hadharani mimi sikuzoea tabia hizo na sikuwa na mhemko huo kwahiyo nilivaa miwani yangu na kuacha mapaja nje tu waangalie wenyewe kama wanapenda watakuja. Kule macheni tatizo lake ni mashoga wengi sana, yaani mwanaume anaweza akaja kutafuta Malaya akakuchanganya wewe ni shoga, wale mashoga wanaojiuza hawana tofauti na sisi wanawake tunaojiuza wakati fulani ulitokea ugomvi mkubwa watu waliamulia tulimgombea mwanaume .
Billa nako kuzuri ila vijana wengi sana halafu hawana pesa, na vitoto vidogo vingi, nilikuwa naogopa matatizo na vijana wa kule sikupenda kufanya mchezo na watoto wadogo waliokuwa wananitaka hata kwa dau gani nilingoja wanaume wenye pesa zao tu sio zaidi.
Basi nilianza safari za kuelekea jolly club kwa ajili ya kujiuza mwili wangu nipate angalau chochote cha kula na kufanya katika maisha yangu, pale jolly club nilikutana na dada mmoja anaitwa Aisha , huyu dada nae ni kahaba mzoefu akaanza kunionyesha mambo kadhaa wa kadha kuhusu biashara ya ukahaba na kadhalika. Hapa ndio nilijifunza kwamba sio makahaba wote ni masikini au hawajiwezi kuna wengine wanajiweza na wanazo fedha ila wanapenda kufanya ukahaba yaani wamechoka na dunia wengine walikuwa na wanaume wao wakaachika wakaamua kuja huku kwenda na mwanaume yeyote yule anayekuja .
Wengine wana matatizo katika ndoa zao kupigwa na kadhalika wanaamua kuja huku kujiuza au kukaa huku ili kuepuka matatizo katika ndoa zao au mahusiano yao, wengine ndio kama hivyo waume zao hawana nguvu za kutosha kufanya nao tendo la ndoa wanaamua kuwa makahaba kila mtu na lake na mambo yake pia.

BINTI ALIYEISHI BAHARINI KAMA MKE WA JINI NA ALIYEKUWA KATIKA DINI YA FREEMASON KWA MUDA WA MIAKA 14, SASA AOKOKA
 


Aliyekuwa Freemason kwa miaka 14 afunguliwa katika mkutano wa Ufufuo na Uzima unaoendelea Moshi; alikatwa kidole akiwa mdogo kama udhihirisho wa alama yao (devil horns)

alieleza mwenyewe mbele ya waliokuwepo mkutanoni maelfu ya watu wa mkoa wa Kilimanjaro na vitongoji vyake wanaohudhuria mkutano huo katika viwanja vya mashujaa unaoongozwa na mchungaji Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima lenye makao makuu yake Kawe jijini Dar es salaam.
 

Binti wa kiislamu ambaye aliwekwa ndani ya bahari kwa miaka mingi; alipokea ukombozi wake mara baada ya maombezi. Kule baharini alikuwa ameolewa na jini ambaye alimweka awe malkia wa baharini kwa miaka mingi... Mungu akamrudisha baada ya maombezi na kumpokea Yesu Kristo.

 

  GOD IS GREAT...

This little boy went to the farm with
his parents... His parents kept him
in the farm house to play while
they went to work on the farm...
After working for several hours,
they came to the farm house to
check their little boy... Only to find
him with a big python round him..
To their greatest surprise the boy
held the python's head and he had
been playing with it for over an hour...
That's what God can do...
Therefore I declare; any plan that is
formed against you and your family,
by the power of God it shall come to
nothing. That problem that has
surrounded you right now will never
swallow you, God will shut it's mouth
and give you victory.

 

Achapwa viboko 100 kwa uasherati

  BORNO, Nigeria


JAMAA mmoja ameonja joto ya jiwe baada ya kucharazwa bakora 100 hadharani kama adhabu baada ya kufanya uasherati.
Mtu huyo ambaye hajaoa, aliyetambuliwa kwa jina moja la Mallam mkazi wa Jimbo la Borno nchini Nigeria alipata mkong’oto huo baada ya kulala na msichana asiyeolewa.

Mallam alipewa adhabu hiyo kwa vile vitendo vya ngono kabla ya ndoa  (uasherati) ni mwiko hivyo vinapigwa vita katika jamii hiyo.

AFUNGUA MACHO WAKATI MADAKTARI WAKIJIANDAA KUCHOMOA KIUNGO 
 
Madaktari wakijiandaa kuanza kazi ya upasuaji.


Madaktari wa hospitali ya St. Joseph iliyoko Central New York walikuwa katika mchakato wa kuanza upasuaji wa kunyofoa viungo katika mwili wa mwanamke aliyekufa ndipo mwanamke huyo akafumbua macho yake. Alikuwa angali hai.





Sababu ya mfululizo wa makosa katika tathimini, madaktari waliamini kwamba mwanamke huyo alikuwa amekufa na kuanza mchakato wa kuchangisha viungo.

Uchunguzi wa Idara ya Taifa ya Afya kuhusu tukio hilo uligundua kwamba pale Burns alipolazwa kwanza, waliruka matibabu yaliyopendekezwa kwamba ingeweza kuzuia dawa hizo alizotumia - Xanax, Benadryl na zile za kulainisha misuli - zisifyonzwe na tumbo lake na matumbo.

Pia hawakufanya vipimo vya kutosha kuona kama hakuwa na dawa zilizobaki au kufanya kaguzi za kutosha kwenye ubongo.

Sababu hawakufanya kaguzi hizi za kutosha, madaktari waliamini kwamba ubongo wa Burns haukuwa ukifanya kazi, wakati uhalisia kujizidishia huko dozi kulimfanya azimie kwa muda mrefu.


Baada ya madaktari kusema ubongo wake ulikuwa haifanyi kazi, familia yake ilikubali kumwondoa kwenye mashine za kusaidia kupumua na viungo vyake kutolewa kwa ajili ya kuchangia wenye mahitaji.

Lakini siku hiyo kabla viungo hivyo havijaondolewa, muuguzi mmoja alifanya tendohiari na kugundua kwamba Burns alikuwa bado ana fahamu.

Alikunja vidole vyake chini ya moja ya miguu ya Burns na vidole vyake vya mguuni vikajikunja kwenda chini, ishara kwamba alikuwa angali hai.

Na hiyo haikuwa ishara pekee ya uhai. Wakati alipokuwa akipelekwa kwenye chumba cha upasuaji, matundu ya pua ya Burns yalikuwa yakicheza na kuonesha kwamba alikuwa akipumua mwenyewe kutoka kwenye kipumulio.

Pia midomo yake na ulimi navyo vilikuwa vikitikisika.

Lakini madaktari walipuuza ugunduzi wa muuguzi huyo ambao uliashiria kwamba Burns bado yuko hai, na wakaendelea na upasuaji bila kujali.

Kabla ya mchakato huo, Burns alikuwa amechomwa sindano ya kutuliza ya Ativan, lakini si kitulizo hicho au ugunduzi wa uhai uliorekodiwa kwenye karatasi ya daktari kwa ajili ya mchakato huo.

Haikuwa hivyo hadi Burns alipofumbua macho yake kwenye chumba cha upasuaji ndipo mchakato huo ulipositishwa.

Si Burns au familia yake iliyoishitaki hospitali hiyo kwa kuzembea kazi.

Miezi 16 baadaye, Burns akafanikiwa kujiua.

Mama yake, Lucille Kuss alisema binti yake hakuwa amefadhaishwa na tukio hilo.

"Alikuwa amehuzunishwa mno kwamba haikuwa imebadilisha chochote kwake," alisema Kuss.

Hospitali hiyo hata haikuripoti tukio hilo, wala kufanya uchunguzi wao binafsi.


Iliendelea hivyo hadi baada ya Post-Standard kuanza uchunguzi wao ambao hospitali hiyo hakutoa maelezo ya aina yoyote kwa kile kilichotokea.


  This is one of the Most Critical Accident the reporte of this story have witnessed in her Entire Life, A Man who claimed to be Mr. Bassey was Involved in an Auto Accident while travelling to Lagos for his traditional marriage. He was Rescued by Good Samaritans along Ibadan Expressway.
One Prayer for everyone, God in his infinite mercy will guide us through this Ember Months and Beyond. We shall never die of accident. 

 

JAMANI UCHAWI UPO...

Habari ya maisha yangu mimi ilianzia katika kijiji kidogo cha Amerie Iriegbu Ozu Itemu kilichopo kwenye mji wa Bende jimbo la Imo.Wazazi wangu hawakuwa matajiri ila baba yangu alibahatika kurithi shamba la ekari 42 kutoka kwa babu yangu. baraka ambayo leo ndio imeleta balaa ambalo halijawahi kushuhudiwa kweny historia ya ukoo wetu. baba yangu alionewa wivu na ndugu, jamaa na marafiki kwa sababu ambazo sikuzijua nadhani ni kwa sababu ya urithi huo.
tulikuwa ni familia yenye furaha, wazazi wangu wakibarikiwa kupata watoto wanne: LOVE,MARGARETH,EMMANUEL NA CHINYERE. baada ya kupata watoto wawili iliwachukua miaka 14 wazazi wangu kuja kunizaa mimi mtoto pekee wa kiume na baadaye tena mdogo wangu CHINYERE. Hii ilileta furaha kubwa kwenye familia furaha ambayo haikudumu kwani mama yetu mpendwa alifariki dunia kwa sababu zilizoelezwa kuwa ni juju (uchawi), na miaka 4 baadaye baba yetu mpendwa naye alifariki kwa sababu hizi hizo kama za mama.

Miaka 2 baada ya vifo hivyo dada yangu mkubwa LOVE alipotea kwenye mazingira ya kutatanisha na wa pili MARGARETH akapatwa na kichaa. ulikuwa ni mfululizo wa matatizo juu ya matatizo. mimi na mdogo wangu CHINYERE tulipelekwa kuishi kwa babu na bibi yetu. pale nilimaliza elimu yangu ya msingi na kuchaguliwa kuendelea na masomo ITEME HIGH SCHOOL ambapo nilisoma hadi kidato cha 3 nikaacha kwa kukosa pesa ya ada na gharama zingine. Muda mfupi baadaye babu na bibi nao walifariki. baada ya msiba kuisha alijitokeza ndugu nisiyemfahamu vizuri akajitolea kumchukua ma kumlea mdogo wangu CHINYERE na hadi leo sijui alipo.Mateso na maumivu yalinifanya niondoke na kurudi kuishi kwenye nyumba ya baba yangu peke yangu nikiwa na umri wa miaka 13. sasa ni jinsi gani mtoto wa miaka 13 anaweza kuishi na kujitegemea yeye mwenyewe katikati ya maadui wa baba yake ambao pia ni maadui zake? Nilifadhaika sana, matukio haya yalinifanya nione elu ndio ulikuwa mwisho wa maisha mazuri kwangu.hakukuwa na mtu wa kunijali wala kujishughulisha na mimi.
Siku moja nilikutana na rafiki yangu niliyesoma naye shule ya msingi aliyeitwa CHINEDUM ONUKWE. alinipenda sana na alinihurumia sana kwa matatizo yalitonikuta, akanipeleka kwa wazazi wake ambao walinipokea kama mtoto wao wa pili.Maisha yakawa mazuri tena kwangu, walinijali na kunipenda sana na nikajua ya kwamba MUNGU ambaye mama yangu alikuwa akimuomba enzi za uhai wake yuko hai na yuko mahali fulani na amenipa wazazi wengine.Nilifurahia maisha haya kwa miaka 2 tu na nikapata pigo lingine kutoka kwa shetani. CHINEDUM na wazazi wake wakiwa wanasafiri kwenda UMUAHIA na gari yao ndogo walipata ajali mbaya ya gari, gari yao aliligonga lori lililokwa limebeba kifusi cha udongo na wote watatu walikufa papo hapo.Mara tu nilipopata habari hizi nilizimia, nilipatwa na huzuni sana nilijikaza kwa muda wote wa msiba hadi tulipomaliza mazishi na nikarudi tena kuishi kwenye nyumba ya baba yangu na nikaanza kufanya kazi za vibarua ili kujipatia chakula.
******************************************************

HUO NDIO MKASA WA KAKA ALIYEMUUA DADA YAKE KIKATILI...DADA AINUA MKONO NA KUMUAGA KAKA YAKE WAKATI AKIKATA ROHO..  

INASIKITISHA SANA KWA KWELI!

Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita (25 JUNE 2012).

Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra. Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja

Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, na baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake

Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata. Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku. Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.

Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala.

Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na dereva. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32. Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita
biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu. Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga. Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves. Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine.  Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali
wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea. Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi. Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote,siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizuri.

Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka
 With regards,

 

Aachwa na mume kwa kuzaa watoto wa ajabu

Sofia Rashid (22) mkazi wa Chanika jijini Dar es Salaam yupo njia panda kwa kutojua hatma ya watoto wake wawili ambao wote wamekumbwa na maradhi ya ajabu ya kujaa maji kichwani.
Watoto hao Omar Mohamed (4) na Maulidi Mohamedi mwenye umri wa miezi minne wamelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa ajili ya kupatiwa tiba.
Akiongea akiwa wodini, Sofia alisema anakabiliwa na mateso moyoni mwake pale anapowaona watoto wake wanavyoteseka kwa maradhi hayo.
Alisema watoto wake wote walizaliwa wakiwa na maradhi hayo ambapo walipofikia miezi miwili walianza na tatizo la kichwa kukua kwa haraka na kusababisha ashindwe kuwabeba.
Sofia alisema kwamba kutokana na matatizo ya watoto wake, mume wake aliyemtaja kwa jina moja la Mohamed alimpa talaka kwa madai hawezi kuishi naye kwa sababu anazaa watoto wa ajabu.
Alieleza toka apewe talaka baba wa watoto hao hajakwenda kumjulia hali wala kumpatia huduma muhimu kwa ajili ya watoto hao.
“Inaniuma sana nikiona hali hii, mimi sikupenda kuzaa watoto hawa ila Mungu amepanga, lakini mwenzangu ananiona kama mimi ndiye mwenye tatizo na kuamua kuniacha,” alisema.
Endapo ukifika kwa mara ya kwanza na kuwaona watoto hao wakiwa wamelala kwenye kitanda kimoja wodini hapo, hautaweza kugundua kwa haraka umri wao kama hautaelekezwa na mama yao ambaye muda wote anakaa karibu nao kwa ajili ya kuwapatia msaada.
“Hawa hawajazaliwa wakati mmoja, huyu Omar ana miaka minne na mdogo wake ana miezi minne tu, lakini kutokana na ugonjwa hauwezi kumtambua nani ni mkubwa kiumri,” alisema mama yao baada ya kuulizwa umri wao na mwandishi wa gazeti hili.
Hata hivyo, alisema licha ya kupatiwa huduma mbalimbali za matibabu kwenye hospitali hiyo, bado anapambana na matatizo mbalimbali ikiwemo kukosa pesa ya kununulia chakula pamoja na mavazi ya watoto hao pamoja na yeye mwenyewe.
“Hapa nilipo sina nguo wala chakula kwa ajili ya watoto na mimi mwenyewe, namshukuru dada yangu kwa kunipa msaada lakini kutokana na kutokuwa na kazi maalum inakuwa vigumu kunitosheleza mahitaji,” alisema.
Sofia aliwaomba wasamaria wema watakaoguswa na matatizo yake kumsaidia kwa hali na mali kwa ajili ya kumsaidia kumpatia pesa za kujikimu akiwa wodini hapo.
Afisa Uhusiano wa MOI, Almas Jumaa alisema Sofia na wanawe walifikishwa hapo miezi minne iliyopita, ambapo madaktari wanajitahidi kutoa huduma za kuokoa maisha ya watoto hao ikiwemo kuwafanyia upasuaji wa kichwa.
Alisema baada ya kuwafanyia uchunguzi imebainika watoto hao wanasumbuliwa na matatizo ya kichwa kujaa maji na tiba yake inafanyika hospitalini hapo.
Kwa yeyote anayetaka kumsaidia Sofia kwa huduma ya chakula, mavazi awasiliane na Afisa Uhusiano wa Moi Almas au afike ofisi ya gazeti hili Mikocheni na kuwasiliana na Moshi Lusonzo kwa namba 0717 336368.
Source: Nipashe

Sikutegemea Kama Ningekuja Kumfumania Mume Wangu Akiwa na Mdogo Wangu

Hii ni picha ya moja kati ya wanandoa wakifurahia ndoa yao..Ndoa ni furaha, amani, na upendo kwa uelewa wangu nimepata ujumbe huu "Habari yako Josephine naomba unisadie nipate ushauri kutoka kwa watu mbalimbali kupitia blog yako mimi ni mwanamke nimeolewa nina watoto watatu katika maisha yetu ya  ndoa tumeishi kwa furaha sana kiasi kwamba sikutegemea kama ningekuja kumfumania mume wangu akiwa na mdogo wangu ambaye nilikuwa nikiishi naye nyumbani siku ya tukio nilikuwa nyumbani jirani yangu akanipigia simu na kuniambia amemuona mume wangu na mdogo wangu wakiingia hotelini na kuniambia niendenikajionee mwenyewe kiukweli nilipofika nilichokiona sintokaa nisahau nilimkuta mdogo wangu akiwa anaogelea katika swiming pool na mume wangu huku wakiwa wamekumbatiana nilihisi kuishiwa nguvu na moja kwa moja nilimshika mdogo wangu nakuanza kumpiga kwa uchungu  nililia sana baadae mume wangu ananiomba msamaha na kusema kuwa shetani alimpitia mimi nataka niondoke naona aibu kuendelea kuishi naye inaniuma sana na mdogo wangu amekimbia sijui hata alipo"...mmmmh jamani tamaa gani hizi ushauri wako mdau.........

MWALIMU WA SHULE YA MSINGI ABAKA MTOTO WA MIAKA 13

  • ATOA HONGO YA LAKI MBILI ILI KESI ISIFIKE MBALI

Mwalimu wa shule ya msingi Bwato wilaya ya Kyela mkoani mbeya Bwana Herny Hans Mwaikokoba anatuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la saba wa shule hiyo, mwenye umri wa miaka 13.
Tukio hilo likiwa ni la pili kwa mwalimu huyo kumtendea mtoto huyo, ambalo limethibitishwa na mtoto mwenyewe na shangazi yake aitwaye Bi Sabina Ndobo mkazi wa kijiji cha Bwato wilayani humo.
Mara ya kwanza mnamo Oktoba mwaka uliopita, mwalimu huyo alim baka mtoto huyo na kisha kumpa shilingi 200, ili anunue mihogo na tukio la pili alilifanya Novemba mwaka uliopita ambapo alimpa shilingi 500.
Wakati mwalimu huyo akitenda kosa hilo alimtishia kumfukuza shule au kumuua mtoto huyo endapo atatoa siri hiyo.
Uchunguzi uliofanywa na mtandao huu umebaini Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo ya msingi, Bwana Benjamin Mwailomo alipewa jukumu na walimu akabidhi shilingi 250,000 kwa mzazi ili suala hilo asilipeleke Polisi, lakini mwenyekiti huyo na bodi yake walitaka kumkabidhi mzazi shilingi 200,000 ambapo alizikana na kuwarudishia.
Baada ya mzazi kugoma ndipo walimu hao walichukua jukumu la kumuita mzazi na kumkabidhi pesa hizo.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bwana Hussein Mwakifumbwa Anangisye amekanusha kutokea kwa tukio hilo, ingawa ametajwa na mtoto huyo mara kadhaa kuhusika katika vikao vya usuluhishi wa suala hilo.
Kwa upande wake Afisa Mtendaji wa kijiji hicho Bwana Alfredy Kalapila (55) na Mwenyekiti wake Bwana Peter Bahesya Mwakisomola (40), wamesema watalifuatilia suala hilo na kulifikisha katika kikao cha bodi ya shule siku ya Ijumaa.
Hata hivyo wazazi wa mtoto Bwana Kambona Petro Mwangomo amesema ameshawahi kumpeleka mtoto huyo katika zahanati kwaajili ya vipimo ambapo hakuweza kubainisha mara moja vipimo vilisemaje.
Mtandao huu umebaini kuwepo kwa kiini macho cha tukio hilo la ubakaji ambapo mwenyekiti wa bodi ya shule Bwana Mwailomo kukiri mtoto huyo kutendea ubakaji na mtu mwingine aitwaye Natron Mwaisumo (50) ambaye amedai ametoroka kijijini hapo, kitu ambacho kimegunduliwa na mtandao huu kuficha uovu uliofanywana mwalimu ili hatua za kinidhamu na kisheria zisichukuliwe.
Source: Ezekiel K, Mbeya
 

Apachikwa Mimba na Mwanae wa Kumzaa Mwenyewe!!

  • Kijana aonesha swagga kwa mama yake
  • Mama nae atema cheche zake mahakamani
Duniani kuna mambo, unaambiwa kuishi kwingi, kuona mengi! Hayo yametokea nchini Zimbabwe ambapo mjane mmoja anaejulikana kwa jina la Bety ( Beatrice) amepachikwa ujauzito na mwanae wa kumzaa mwenyewe! Mama huyo ambae kwa sasa ujauzito wake ni wa miezi 6  aliing'akia mahakama ya nchini humo kwa kuingilia kati  mapenzi baina yake na mwanae huyo! Anasema alihangaika kumsomesha mwanae bila msaada wowote kutoka kwa ndugu wa mumewe, na sasa amepata kazi nzuri hivyo wamuache ale matunda yake!
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 24 aliye deep in love na mama yake mzazi alionyesha swagga zake kwa kuipasha mahakama kwamba yupo kwenye process za kumuoa mama yake na atalipa mahari. Anasema baba yake hakua amemaliza mahari hivyo yeye kama mume mtarajiwa wa mama yake atamalizia deni la mahari hiyo ili aweze kumuoa mama yake.


 Nitakufa Lakini.....!!



Nimependa kushiriki nanyi katika waraka huu ili mjifunze jambo kupitia hadithi ya maisha yangu. Naamini Muumba wa mbingu na nchi atanisamehe kwani naamini hakuna nafsi chini ya jua ambayo ni takatifu.

Jina langu ni Edmund (si jina halisi) mkazi wa Kinondoni Dar es Salaam. Ni mfanya biashara maarufu jijini hapa; Safari za kwenda nchi za nje kama Marekani, Uingereza, Ufaransa kwangu ni jambo la kawaida sana. Nina nyumba za kifahari 2, magari 3; Nina watoto wawili Suzan (6) na Kennedy (4). Mimi pamoja na mke wangu tulijenga familia yenye upendo na malezi bora kwa watoto wetu. Mke wangu alifariki mwaka mmoja baada ya kumzaa mtoto wetu wa mwisho Kennedy!  Kifo cha mke wangu kilitokana na ugonjwa hatari wa Ukimwi! Na sasa mwanangu Kennedy pamoja na mimi baba yake tunaishi kwa matumaini huku Suzan akiwa anaishi na mama yangu katika moja ya nyumba zangu. Namshukuru Mungu kwamba Suzan hana maambukizi

Si jambo rahisi kusimulia lakini nimeamua kutoa dukuduku langu angalau moyo wangu upate nafuu. Pamoja na vidonge vya ARV kunipa tumaini la kuishi muda mrefu, nimejikuta mwili wangu ukizidi kupukutika siku hadi siku hasa kwasababu ya kulipiza kisasi kwa kila mwanamke anaejirahisisha kwangu kwa tamaa ya pesa na mvuto wangu wa kishombe shombe nikiamini itanipinguzia machungu ya kujua nitakufa lakini nitakufa nao wengi!!! Tangu nimegundulika nina virusi vya ukimwi ni idadi kubwa ya wasichana niliotembea nao, wanafunzi, wake za watu, machangudoa, ma sugar mamy, wasanii maarufu wa muziki na wa filam, wasichana maarufu. Na yote hii ni kwa kuhadaika na mvuto wa sura na pesa zangu. Kwa sasa nashindwa kusimamia biashara zangu kutokana na mwili kuumwa.

Najua sina muda mrefu wa kuishi lakini naamini ujumbe wangu mtaufanyia kazi na kuwa makini katika mahusiano mliyonayo. Watu wengi tunatembea lakini tumeoza nafsi, tumeoza afya! Akili zimeshaingia wadudu na kutothamini kabisa utu. Tangu nilipogundua kwamba mke wangu ndie alieniletea maambukizo, na kusababisha majonzi katika familia yangu huku nikimuona Kennedy mwanangu anavyoteseka kwa maradhi ya mara kwa mara naumia sana, nina laani kila nukta ya uaminifu niliokua nimeweka kwa mke wangu.

Ninawachukia sana wanawake, na ndio maana sina huruma hata kidogo kwa yeyote anaenikubali, si wadogo wala wakubwa nina listi ndefu sana ya wanawake niliowaambukiza virusi vya Ukimwi. Ninawaomba ninyi nyote mtakaosoma waraka wangu huu, kuwa waangalifu. Usimuamini yeyote kwasababu katika maisha yetu ya sasa ni rahisi kumwambia mtu unampenda lakini ikawa vigumu kuthibitisha. UKIMWI unaua.

Nipo tayari kumpatia yeyote list ya wanawake niliotembea nao!! Ili kama kuna yeyote anahadaika na msichana/ wasichana hao, ujinasue mapema kabla hayaja kukuta yanayonitesa sasa. Sina muda mrefu wa kuishi, hata dawa za ARV hazinisaidii tena, hali yangu ni mbaya sana, mbaya mbaya sana. Asikwambie mtu maumivu ninayoyapata ni sawa kabisa na ahera; Jamaa na ndugu zangu wamenitenga. Lakini cha kushangaza miongoni mwa hao wanaonitenga wake zao, wapenzi wao nimesha tembea nao!!!

 


NAPENDA KUCHEZEWA MCHEZO WA NYUMA NA WANAUME WENZANGU


Mpaka naandika story hii bado mi ni shoga na nianendelea na ushoga, nimejaribu mno kuacha lakini 
wapi?, kuna wakati naacha kabisa lakini kutokana na jinsi nilivyojaliwa kupewa sura nzuri na umbo, wanaume wengi wamekuwa wakinisumbua, hata kutaka kunibaka nitokapo kwenda club siku za weekend, na tabia hii ya ushoga naichukia kweli, lakini nakuta naangukia huko huko, naweza nikajiweka bize ili kusahau mambo ya kushikishwa ukuta, kubadilisha namba ya simu ili wanaume wasinitafute lakini wapi ndani ya wiki mbili tu utakuta wanaanza kunitafuta sijui wapi wamepata namba yangu, wananitaka kuniduu.
Tabia hii ya kupenda haka ka mchezo ilianza, pale nilipokuwa kidato cha nne, baada ya kubakwa na mjomba wangu, akishirikiana na mfanyakazi mwenzake na waliyekuwa wakifanya kazi katika kampuni moja kubwa la madini.

Toka nazaliwa, watu walioniona wanasema nilikuwa handsome, si handsome tu, bali nilikuwa quet, kwa umbo nililojaliwa, lenye kuwa na makalio makubwa, uzuri wa umbo n.k, sa kwa vyote hivi viliwafanya wanaume kupangawa namimi, akiwemo huyu ndugu yangu(mjomba)......mjomba alikuwa ananipenda mno, tulukuwa hatuishi nae pamoja ila kila mara alipopata nafasi ya kuja nchini , lazima aje nyumbani moro, na kwa kuwa baba alikuwa amekwisha fariki nilikuwa naishi na mama, na ni mtoto wa pekee kwenye family yangu.
Mjomba akifika nyumbani alkuwa lazima aniletee zawadi kutoka nje ya nchi, hunichukua na kwenda matembezini, lakini hakuwai kunieleza juu ya nia yake ya kuninaniiiiiii, pia alipenda sana kunichukua chumbani kwake akidai ameniletea move nzuri tukaangalie, tukifika anaanza kuweka gay move, na tunaangalia, wakatihuo nilikuwa nasoma kidato cha kwanza.

Mjomba aliendelea hivyo hivyo na mikakatiyake kila alipopata nafasi yakuja nchini, wakati mwingine yeye au akiwa na rafiki yeke yule mzungu. siku moja tena na kumbuka ilikuwa siku ya jumamosi, mwaka 2007, tukiwa katika sherehe ya harusi ya mdogo wake na mama yaani ma mdogo aliyekuwa anamaliza chuo, na mpenzi wake akapata nafasi ya kwenda kufanya kazi London, sa walifunga ndoa kabla ya safari yao, nakumbuka ndoa yao ilikuwa nzuri mno, watu walikuwa wengi, rafiki na wafanyakazi wenzake na mama wa airport walikuwepo.
Kwa kweli siku hii haitaondoka katika maisha yangu kamwe, kwani ndio siku nilipofundiswa mchezo huu ambao nilikuwa siujui bali nausikia tu na kuuona, katika sherehe hiyo mi nilikuwa na mjomba kati ya meza nyingi tu zilizokuwa humo ukumbini, tukiwa pamoja na wafanyakazi wenzake, wengi tu.


Lakini katika marafiki hao yule mzungu mbrazil sikumwona, na nilipomuuliza mjomba alinijibu kuwa yu hajisikii vizuri, hivyo amemwacha katika nyumba mojaambayo kampuni ilikuwa imepangishia nyumba. tuliendelea kunywa huku tukijionea kwa uzuri harusi ya ndugu zetu wapendwa, mi nilikuwa nakunywa soda tu, mjomba alikuwa akinywa pombe yeye na rafikize, si unawajua tena watu wa migodi, in walevi sana tu.

Baada ka ya kupita masaa manne, baada ya sherehe kuanza, nilijisikia kutaka kwenda shortcall wenzetu wanasemaga, basi nikaenda. kumbe kweli usiolijua ni usiku wa giza, huku nyuma mjomba akaniwekea madawa ya kunilewesha kwenye soda, baada ya kurudi sijui hili wa lile, nilipofika nikaendelea na kunywa soda tu, weeeeeeeeeeeeeeeeeee asikwambie mtu muda mfupi tu nilanza kujisikia vibaya, nikawa nahisi usingizisingizi, sa mama kuona hivyo akaja na kuniuliza vipi we umefanya nini, nilimjibu sijisiki vizuri, sa mjomba kuona hivyo akamwambia mama, we acha nimpeleke akapumzike, sa mama hakuwa anajua litakalotokea akamwambia anipeleke, akakibia akawasha gari akaja akanichukua toka ukumbini huku akiwa aminibeba mpaka kwenye gari, huku nae mama akitufuata...mpaka pale alipohakikisha nimepakiwa kwenye gari ndipo aliporudi ukumbini.

Asikwambie mtu kwa kweli usiojua ni usiku wa giza...... wahenga wamesema, kumbe mjomba huko moyoni anafuraha ya ajabu, miaka yote aliyokuwa ananipania sa ilikuwa imebakia ni sekunde tu, afaidi alivyoukuwa amewekeza kwa vijisawadi alivyoukuwa ananiletea na  sio siri mjomba alikuwa ni hansome, mwembamaba, mrefu na mwenye sura ya mviringo ka ya wanyaru wale watu wa nchi ya pili hapo Rwanda.

Gari ilikwenda kwa mwendo ka wa saa moja hivi nikaona tukipakikatika moja ya jumba la kifahari lilokuwa pembeni mwa bara bara mjomba alipiga honi na mara moja akatoka yule rafikiye mzungu mbrazili, akaja akanichukua kutoka kwneye gari akanipelelka ndani, ye mjomba akaendelea na kuingiza gari ndani.

Kwa kweli nilikuwa najitambu kwa kiasi kidogo mno, baada ya kufikishwa tu ndani yule mzungu, alininywesha dawa furahi hivi na kunipeleka maliwatoni kunisafisha, ile dawa yaani kuinywa tu, huko nyuma inatoa uchafu wote, inabaki kazi moja tu kunaniiiiiiiiiiiiliwa, baada ya hapo yule mzungu alinirudisha sebuleni na aliweka mkanda ya porno za gay, na kuanza kunichezea chezea, balaaaaaaaaaaaaaaa alikuwa ni mtaalam, alinifanyia mabo mengi mno, na baada ya hayo mahabati, kazi ikaanza ilikuwa kazi nzito mno kwa kuwa nilikuwa mgnei wa mambo hayo.

Wakati akiendelea na uwajibikaji yule mzungu, ye mjomba alikuwa ameketi kwenye meza yuko mtupu huku akiendelea kunywa pombe zake. kwa kweli ilkuwa ni balaaa, alitumia muda mrefu mno, kabla ya mjomba nae kunikamata, na kwa njinsi alivyokuwa na maumbili makubwa nlilia mno, yeye ndi aliyetumia mda mrefu mno kukamilisha mchezo.

Baada ya hapo nilipelekwa kuogeshwa nikapewa kinywaj furani hivi, mchoko pamoja na hengofa yote ikaisha, basi mjomba akanipeleka kulala nae katika moja ya jumba katika jumba hilo, tulilala huku akinibembeleza na kunisihi nisimwambie mtu, kwa ahadi ya kuniletea zawadi ya gari. nilimwambia sitasema yeye asiwe na hofu na, tulilala mpaka mida ya saa kumi na mbili asubuhi nilipoanza kuhisi mikoni ikinipapasa papasa katika mwili wangu, kazi ilianza upwa, mpaka saa moja asubuhi, tulikuwa hoi.


Asubuhi nilijiandaa kurudi nyumbani, mjomba alinichukua mpaka nyumbani na gari, na alikaa pale nyumbani kwa muda wa siku mbili kabla ya kuondoka kwenda Dermak. tuliendelea kuwasiliana na kila alipokuwa akija nchini alinitumia tikiti na mi kumfata hapoatakapo kuwa amefikia, na kufanya mavituziiiiiii, tuliendelea hivyo hivyo, mpaka akaniambia ni mshawishi mama ili nitakapo maliza form six aje anichukue kwa kigezo cha kunipeleka nje ya nchi, ili aweze kunioa na kuishi nae, lakini mama alisema mpaka ni malize kwanza shahada yangu ya kwanza hapa nchini, ndio mjomba anipeleke nikasome nje ya nchi hiyo shahaday pili.


Sasa ndugu zangu hapa naomba ushauri kwa mambo mawili, kwa kitendo cha mjomba kunichakachua, na kuniacha hapa kimenifanya kuhangaika hangaika kila mara kutafuta wapenzi wa kushughulikia watu ka mimi, yaani huwa nakuwa na furaha akiniambia ati anakuja, watu wote ninaowapata wa hapa nchi hawana mapenzi ya kweli ka ya mjomba, na wengine hawana sifa za uhendsome ka wa mjomba ............. nifanyeje? natamani kuacha mchezo huu, lakini nashindwa yaani nimekuwa mwadhirika wa kamchezo hako ka kushikishwa ukuta........... nifanyeje niache? napenda sana kufanywa mpaka basi iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Na nitakapo mkubalia mjomba kuja kunichukua nitakapo maliza shahada yangu ya kwanza, najiuleza tena kuwekwa unyumba na mjomba tena ............. sijuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...................................... naomba ushauri wenu nifanyeje?



kwa msaada wa mtandao wa kijamii

WADAU WA FACE BOOK WANASEMAJE?
Benedetto Msafwa Shonyella Go to hell
Juma Mpungi Shindwa na ulegee
Augustino Jazza msenge wewe?nenda sodoma

Emanuel Chacha jamani mambo gani tena hayo
Augustino Jazza pumbafu ili.
Raymond Maige sasa si yeye jamani yeye katoa hiyo link someni muone kilichotokea instead ya kuanza kumwaga mitusi hapo c ustaarabu...
Erick Pam Du dunia imekishwa aombewe jaman pepo la kufirwa bya
Jonas Amos Nenda kwa d cameroon aka kukamerun
Liffa Saidea mazafanta hukohk kw mapopo bawa c-hap tzii ye2

Cash Lee Chriss Jaman hyo n starehe yake anayoipenda!!!
Juma Mpungi Hahahahahahaha watu wengi hajaelewa huyu aliyetoa status ni wakike alfu kawapa web site ili muweze kusoma habar zaid jaman dada wawatu atachanganyikiwa somen ujumbe kwanza kabla ya kucoment ok gayz@all
Erick Pam status gan hyo kwa hyo sis ni wafiraj nin
Josephine Joseph sio status hiyo Eric ni link
William Ernest Ngonyani jaman mbona nyny si waelewa??cjui kama mnazo akil sawasawa yan hyo katoa link ya m2 anayependa kufanyiwa hvyo na siyo josephne ndio anayependa kufanyiwa hvyo!!!!mmeanza na kufungua midomo yenu kwa uchafu wa ma2s!!!!
Erick Pam ‎2me elewa bna josephine ni challenge cunajua wa2 wa fb walivyo
Liffa Saidea we wiliam nan kakuambia ktkanw josephn mbon unakiherere mtt w kiume
Juma Mpungi Asante@william

Alberto Othuon Nyagwegwe Lengo la kuona jinsi jamii inavyo liona Jambo hili Inasukitisha sana
Jackson Bundala Hiyo kali ya kufungia mwaka!

Inocent Mgubhe Kichefu chefu 2!!!! Allan Nyiti Huyo jama anipe number.
John Wilfred Wewe Josephine Joseph wewe....
Allan Nyiti Nan?
Andrew Joseph dah jaman mambo gan hayo mbona vya kujadil ving inakuwaje mnatuletea kichefuchefu
Aneth Munisi daaaaaaaaaaaah hiiii tena hapana
Erick Pam Vp aneth umeionaje hyo
Sayenda Matondo wew wakiume au wa kike? kama ni hiyo Haramu mbona kitimoto inaliwa.   
Ka Gody God 4biden.
Tengia Vitalis Mh umewaza nini sister
Jogoo Kuchi Jamaa analiwa tigo, inalilahi.
Jarufu Kihulla Au kaidiwa misaada huyo, mtoto chakhulaa
Francis Mashallo Mshenzi sana,Si akaombe USAJILI CAMEROON.Pumbafuuuuuuuuuuuuuuu
Godfrey Elias Mkumbo huyu mtoto ni ujingawake anashindwa kumeleza mamayake? Kisa kaidiwa gari. Na kpelekwa nje!! Wacha aliwe anapenda huyo ...
Francis Mashallo Huyu bwana Matondo vip? Anafananisha Kitimoto a.k.a NOA na mambo ya CAMEROON? NOA SIYO HARAMU, TENA MIE IMENISOMESHA hadi nilipo hapa SHATAP

Reagan Mollel story inasikitsha,sana
Albin Yudos mh
Lameck Hamisi Acha kw ishu izo aipndz kuz2pia wngne 2naeshmka thers alot of thng2 do my frnd y u tr kuptosha w2 i hate wt u wnt 2 told us ..its so stpd.. ..lady wew star thn kio ch jamii sijapenda ...
Frank Mkarome it is too sad, jamaa anatia huruma sana, he needs immediate help.
Msaki G Godfrey acha usenge ndiyo dawa tu wala kuchezewa nyuma sio ushuja m
Frank Mkarome kasome hiyo link yake!!! usikurupuke kuchangia hoja while you dnt have details. be wise

Eddy Njakani Haya bana 
Frank Mkarome intelligent people hawakurupuki kujibu hoja!!, try to click that wall then utasoma details na uta muonea jamaa huruma!! its too sad to the boy my friend.
Michael Kanundo Philipo Huyo asubiri hukumu ya mungu coz anachofanya amesahau sodoma na gomora
Frank Abraham May be something wrong upstairs, do! anaitaji msaada msimlaumu!.......
Manzi Mmolosha Mmmmmmm!!!! Huyu mgumu kumsaidia, ameshakuwa addicted labda maombi.

Lyagaba Marco Fikiri kabla ya kutenda dadaaaa    
      
    
TRUE HAPPENED ADVERSITY

Human beings are passing through different dilemma  in life!
Sadness, Sickness, Pain, Setback, Limitation, Disappointment, Career Failure, Shame, Punishment  ...
Possibly you have suffered a lot!  And now you need advice!
We are welcoming adversity of a person/ people that really happened
And if you have picture(s) or/ and video(s) of that adversity will be more attracting and touch people's feelings
Advice and comments all over the world will be published
Send your adversity with picture(s) or video(s)  (if are available) to: jojothefighter@gmail.com
You are all welcome!!!

MIKASA YA KWELI ILIYOTOKEA

Binadamu tunapitia aina tofauti za njia panda katika maisha
Huzuni, Maradhi, Maumivu, Kurudishwa nyuma, Mipaka, Kukatishwa tamaa, Kutofanikiwa katika kazi, Aibu Adhabu...
Inawezekana umeumizwa sana! Na sasa unahitaji ushauri!
Tunakaribisha mikasa ya kweli iliyowahi kumtokea mtu/ watu
Ushauri na maoni utatolewa na watu mbali duniani
Tuma mkasa wako pamoja na picha au/ na video (kama zipo) katika waraka wa elektroniki: jojothefighter@gmail.com
Na kama una picha au/ na video za mkasa huo itavutia na kugusa hisia za watu zaidi
Nyote Mnakaribishwa!!!


 
   
  


UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...