JUKWAA LA WAKRISTO TANZANIA
TAMKO LA JUKWAA LA WAKRISTO
TANZANIA KUHUSU KATIBA
INAYOPENDEKEZWA,
MAHAKAMA YA KADHI NA HALI YA
USALAMA NA AMANI YA NCHI.

Sisi Maaskofu wa Jukwaa la Wakristo
Tanzania linaloundwa na Taasisi za
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania
(TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania
(CCT) na Baraza la Makanisa ya
Kipentekoste Tanzania (CPCT) tuliokutana
leo
tarehe 10.03.2015, tumepata nafasi ya
kujadili kwa kina kuhusu hali ya
usalama wa nchi ilivyo sasa na
mustakabali wake, Katiba
inayopendekezwa na
uanzishaji wa Mahakama ya Kadhi.
Baada ya kutafakari yote hayo, Jukwaa
limefikia maazimio yafuatayo:
1. Kuhusu uanzishaji wa Mahakama ya
Kadhi: Suala la uanzishwaji wa
Mahakama ya Kadhi nchini kama
tulivyotoa maoni yetu kwa Kamati ya
Bunge ya
Katiba na Sheria (Januari 16, 2015);
barua yetu kwa Waziri Mkuu na matamko
mbalimbali yaliyokwisha kutolewa
kuhusu jambo hili; Mahakama ya Kadhi
inakiuka misingi ya Taifa hili kuwa na
Serikali isiyokuwa na dini wala
mfumo wa sheria unaobagua raia wake
kwa misingi ya dini. Pia mjadala
unaoendelea unavunja Katiba ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya
1977
Ibara ya 19. Kwa kuendelea kujadili
suala hili katika Ilani za Vyama vya
Siasa, Majukwaa ya Kisiasa na Bungeni,
limeligawa Taifa letu, Serikali,
Bunge, Mahakama na wananchi.
Mahakama ya Kadhi imekuwa likiendelea
kutumiwa
na wanasiasa kama mtaji wao wa
kujipatia madaraka kwa gharama za
kuleta
chuki za kidini. Kwa dhamiri safi,
Jukwaa linatamka wazi kuwa mjadala
unaoendelea kati ya Serikali na vikundi
vya kidini kuhusu uanzishwaji wa
Mahakama ya Kadhi kikatiba na
kisheria ufungwe na badala yake
ziachiwe
taasisi husika za kidini kuamua juu ya
masuala hayo bila kuihusisha
serikali wala waumini wa dini nyingine.
1. Kuhusu Katiba inayopendekezwa:
Katiba Inayopendekezwa imeleta
mgawanyiko mkubwa katika Taifa
kwani imepatikana kwa njia zisizo za
kiadilifu; na mchakato wake
umeendeshwa kwa hila na ubabe. Aidha,
Katiba
Inayopendekezwa haijajibu bado
matakwa na malalamiko ya wananchi
kwenye
masuala mbalimbali (Muundo wa
serikali, miiko na maadili ya viongozi wa
umma, haki za binadamu, madaraka ya
Rais, uwiano wa mihimili ya dola n.k).
Ikumbukwe Katiba Inayopendekezwa
ilipitishwa kwenye Bunge Maalum la
Katiba kwa ahadi ya Serikali kuipa dini
ya Kiislam Mahakama ya Kadhi.
Inashangaza kuwa hata Serikali inatoa
rushwa ili kufikia malengo yake!!!
Kwa hali kama hii, Kanisa haliwezi
kuunga mkono kupitishwa kwa Katiba
Inayopendekezwa.
Hivyo basi, Jukwaa linawataka waumini
wake wote wajitokeze kwa wingi
kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la
Wapiga Kura, waisome Katiba
Inayopendekezwa na kushiriki kikamilifu
vipindi vya elimu juu ya Katiba
Inayopendekezwa na kisha wajitokeze
kwa wingi kupiga kura ya HAPANA kwa
Katiba Inayopendekezwa kwa sababu
zilizotajwa hapo juu.
1. Hali ya usalama wa nchi ulivyo sasa:
Jukwaa linasikitishwa na
viashiria pevu vya ugaidi vilivyoanza
kujitokeza nchini kwa takribani miaka
mitano iliyopita. Kumekuwa na vitendo
vinavyoashiria kuchipuka kwa ugaidi
kama vile uvamizi wa vituo vya polisi,
kuporwa silaha na mauaji ya polisi,
mafunzo ya kareti katika nyumba za
Ibada, mafunzo ya itikadi kali za kidini
kwa watoto (Kilimanjaro), tukio la
Amboni Tanga, mauaji ya viongozi wa
dini
(Buselesele, Zanzibar, Arusha), uchomaji
wa nyumba za Ibada na kumwagiwa
tindikali kwa viongozi wa dini.
1. Mauaji ya watu wenye ulemavu wa
ngozi (maalbino): Jukwaa
linasikitishwa na mwendelezo wa
mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi
(maalbino) na ukatili unaosababisha
ulemavu wa kudumu wa maalbino katika
nchi yetu. Hali hii inatishia utulivu,
amani na umoja wa kitaifa tuliokuwa
nao kama taifa la mfano barani Afrika.
Jukwaa linawaasa wananchi kuacha
tabia hii ya kuua albino. Jukwaa
linaamini kuwa kukosekana kwa
uwajibikaji
wa viongozi wa serikali na kuongezeka
kwa wigo wa kipato kati ya walionacho
na wasionacho kunachangia ongezeko la
vitendo hivyo viovu. Jukwaa
linajiuliza: mbona tembo na ng’ombe
wakiuawa operesheni maalum
zinafanyika
na viongozi wanawajibika, kwa nini
maalbino wakiuawa viongozi
hawawajibiki?
Kutokana na hayo yote, Jukwaa linatilia
shaka dhamira thabiti ya uongozi wa
Chama Tawala na Serikali yake katika
kuvitokomeza vitendo vya kigaidi,
mauaji ya albino na uvunjifu wa amani
unaoendelea hasa kutokana mikakati
hafifu na udhaifu mkubwa uliojitokeza
wakati wa kuyashughulikia masuala
hayo. Kwa kuwa Chama Tawala na
Serikali wameshindwa kusimamia misingi
iliyolea taifa kama serikali isiyo ya kidini
na taifa lenye amani; umoja na
utulivu; Jukwaa linawaelekeza waumini
wote na wenye mapenzi mema wakati wa
Uchaguzi Mkuu ujao kufanya maamuzi
yanayolitanguliza Taifa badala ya
kutanguliza mazoea, mapokeo, itikadi na
ushabiki wa chama fulani cha Siasa.
YATOSHA KWA SIKU MAOVU
YAKE: MATHAYO 6:34

 
  Here is my list of 8 qualities of Women a Man Should Date or Marry:
The Anti-Gold Digging Woman:
A good woman doesn’t require that you buy her all the bling, expensive gifts in order to win her heart and love. She recognises that her love is not for sale to the highest monetary bidder. Her love will be poured out on a man who bids with his character and not his cash. And even if you are pretty well off, a good woman will love you for you, and not your money. And this is not to say she doesn’t appreciate the finer things in life like a pair of Jimmy Choo shoes or a David Tlale dress. But a designer dress can’t cuddle with her or whisper sweet somethings in her ear, and a good woman knows this!
The Cheerleader Woman:
She’s her man’s number one fan. She will support you anytime, anywhere and anyhow, and do it with enthusiasm and passion. You can easily recognise this woman because she is most likely the one you want to call whenever something good happens to you. Or when you get stressed out about something bad. You know she can’t really fix it but she has a way of inspiring you and comforting you. She’s the one who knows that you feel some insecurity about your career – something you would never admit to anyone else. She makes you want to achieve greatness even if you don’t believe in yourself enough.
The Secure Woman:
She is so secure in herself that she doesn’t compete with other women. She trusts you enough around women and never suspects you of flirting or cheating. If you know your apples from your oranges, you’ll realise that her confidence is not to be abused but valued. She will make you want to be a good man – to honour how much she trusts you. And she actually appreciates the women in your life and will create a good atmosphere to help maintain your work, business or social connection with them.
The Sensible Woman:
Women generally like to feel that their opinion is important to their man, and most relish an opportunity to contribute an idea, solution or suggestion. The difference is that this woman not only has advice to give, she is wise. She is a good listener and has the ability to think laterally. She’ll give you a different angle on a problem or solution: something you might not have thought about before. She has the ability to articulate your frustration or anger in a way that makes you feel she really understands what you’re going through, and then speak calm and peace into your spirit. If you let go of your ego, you will learn by experience that most of her warnings, suggestions, and solutions will help you reach your goal quickly and efficiently.
The Funny Woman:
Perhaps she is not a comedian but she can make you laugh when things are good or bad. She knows when to take things seriously, and also how to laugh at herself and life. She is playful but is still graceful; silly without being ridiculous; fun without being an embarrassment. You feel comfortable taking her out because you are not worried that she’ll do or say something that will make your friends wonder why you are dating her. Every man needs this woman. She has a way of making life seem brighter and more exciting.
The Honest Woman
This woman will “drop it like it’s hot”. She says things just the way it is, no sugar coating. For her, truth is always truth; there is no compromise. She has a loving and soft way of communicating truth to you. Her goal is not to be right, but for your future together to be better and stronger. She understands and appreciates the value of honesty because she knows she is a representation of you, and you are a representation of her. When everyone is telling you that it’s time to buy the car, she will lovingly persuade you to hold on a bit.
The Ambitious Woman:
She is a motivator and with her by your side, you will conquer every mountain. She encourages you to dig deeper and pursue your life goals diligently. She has good business acumen and can grasp ideas and see potential quickly. She doesn’t claim to know everything but she is always willing to learn and understand so that she can contribute in a meaningful way. And although she is ambitious, she remains humble and kind.
The Spiritual Woman:
Although you may not always know it, she is always praying and interceding for you. She’ll encourage you with a scripture or motivational quote, and remind you of God’s faithfulness and love. She is your spiritual partner: supporting you in building spiritual intimacy with Jesus and helping you to consistently hear the voice of God.
My brothers, when you find a good woman like this, don’t hesitate. Let the wedding bells start ringing!