02 July, 2011

CHEZEA MCHAGA WEWE!!

Chezea Mchaga Wewe!!!.....
mchaga,mpare na mhindi walienda kutoa pesa kwa watu ila waliweka masharti ya kupata hizo hela
Mpare>>mimi nitachora mstari kisha nitarusha pesa juu,zitakazokaa kwenye mstari zenu zitakazotoka nje zangu

  1. mhindi>>mimi nitachora duara kisha nitarusha pesa juu zitakazoingia kwenye duara zenu zitakazotoka nje zangu

mchaga>>mimi nitarusha pesa juu zitakazobaki juu zenu zitakazoshuka chini zangu!  

Chagga security...
A shop owner in Moshi, was tired of people breaking into his yard/shop  so he came up with the idea of shaving his dog like a lion.  Everyone in Moshi recognizes a lion, now he has no problem with thugs!   Chaaga’s ingenuity – we call it a Chaaga always has a plan  

   








1 comment:

  1. Heeeee we Josephine wewe! Una vituko sana... Hihihihihihi...

    ReplyDelete

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...