10 July, 2012

PIKIPIKI NOMA



Piki piki moja watu watatu on SPOT jijini Dar es Salaam (mwanamke mmoja, wanaume wawili)
Kila tukiambiwa tukate Comprehensive Insurance, hatuki! Ona sasa! 
Japo watu wanasema Mungu akikupangia kufa unakufa tu hata tukizilaumu  hizoi boda boda...kwani Mafisango, Sokoine, Saitoti hawakufa kwa ajali ya boda boda!


Wapo wanaochukulia habari hii  negatively hususan kwa hii picha. Ndio hao wasiotaka kujifunza kutokana na makosa ya wengine, na pia ndio rough riders on the road. Hili ni fundisho tosha, ingekuwa amri yangu bodaboda ningezipiga marufuku kabisa nchi hii.
Comprehensive Insurance ni pamoja na SAFE RIDE na abide to rules and regulation. Wote hawakuwa na Helmet (kofia ngumu), kilichowakuta, huyu aliyesagika kichwa, alikanyagwa na tairi la gari baaada ya kuwa wameanguka!! Chukue tahadhari, yasije kukuta haya! Sisi kazi yetu itakuwa kusema "POLE" "RIP" "INASIKITISHA" "JAMAANI" na mengine kama hayo! 
Najua ni picha mbaya lakini imenilazimu kuiweka ili muwe na tahadhali!!!!
Jamani pikipiki nichombo cha usafiri chenye uharaka lakini usipokua mwangalifu matokeo yake ndio haya; ndugu, jamaa na marafiki zetu wanapoteza uhai na kupata ulemavu wa maisha kwasababu ya uendeshaji holela, upakiaji wa abiria wengi katika pikipiki moja (mishkaki), dereva kuendesha akiwa amelewa na sababu nyingine nyingi zinazo fanana na hizo.. 

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...