Miongoni mwa vipaji alivyoshushiwa JoJo ni pamoja na utunzi wa kazi za sanaa zikiwemo nyimbo, filamu na tamthilia....wimbo huu umetumika pia kama main sound track katika movie ya TAMEKA
Vilevile JoJo ni mwanamuziki, msanii wa filamu & tamthilia!
Kama hiyo haitoshi, JoJo ni mwana habari na mjasiriamali!
Wimbo huu wa Nskize umetungwa na kuimbwa na JoJo The Fighter mwenyewe... Enjoy the video
No comments:
Post a Comment