04 November, 2013

INASIKITISHA SANA: KIJANA MMOJA IRINGA AJINYONGA KWA KUCHOSHWA KUFELI MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MARA KWA MARA ANA UHAKIKA NA HUU ANGEFELI TENA


Mwanafunzi  aliyekuwa akisubiri kufanya  mtihani  wa kidato cha nne unaotaraji  kuanza kesho Bw Khamis Mkundo mkazi  wa Mwangata C katika Manispaa  ya Iringa  akiwa amejinyonga  usiku  huu kuhofu  mtihani  wa kidato cha nne


 Mwenyekiti  wa serikali ya mtaa wa Mwangata C Bw Sarehe Mgimwa akisoma ujumbe  ulioachwa na marehemu huyu 

 
 Askari  kanzu  akikagua  mwili wa mwanafunzi  huyo
Barua iliyo achwa na marehemu

  Wananchi  wa Mwangata  mjini Iringa  wakiwa nyumbani kwa marehemu  

 Mwili  wa kijana  huyo ukitolewa  tayari  kupelekwa  chumba  cha kuhifadhia maiti Hospital  ya  Rufaa ya mkoa  wa Iringa
 Mwili  huo ukipakiwa katika gari  la  polisi

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...