Sakata lenye kumhusisha mwanasiasa kijana maarufu nchini Zitto Kabwe dhidi ya chama chake cha CHADEMA, ndio habari ya mjini hivi sasa. Mengi yanasemwa, na ni wazi mengi pia yataendelea kusemwa, bila kujali matokeo ya kesi aliyoshinda mahakamani leo, maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA na mengine yoyote yale. Lakini wakati tukijadili haya kwa marefu na mapana, bilashaka tukihusisha zaidi hisia zetu, je tunafahamu katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu sakata hili?
Isome hapa katiba ya CHADEMA, kisha ujue ni upande upi uko sahihi na upi hauko sahihi.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment