Madiwani wawili wa CHADEMA Shinyanga wajiuzulu
Habari zilizonifikia
hivi punde ni kuwa madiwani wawili wa Shinyanga wamejiuzulu, madiwani
hao ni Sebastian peter kata ya Ngokolo na Zackaria Mfuko kata ya
Masekelo.
Madiwani hao wamesema hoja yao ya msingi ya kufikia
hatua ya kujiuzulu nafasi zao ni kuwa wamechoshwa na siasa za chama chao
ambazo zinalenga kutafuta umaruufu kuliko kuimarisha chama, na siasa za
kujenga na kuimarisha makundi ambayo yanaasisiwa na viongozi wakuu na
ndio wachochezi wa mkawanyiko ndani ya Chama.
HIVYO wameamua
kujiuzulu nafasi zao kwa kuwa hawaoni future kwa Chama hicho wala
hawaoni ukombozi wa kweli kwa wananchi kupitia Chama hicho
By Jini mahaba
Katika hali ya kuonyesha Uhai wa Chadema kuelekea 2015 ni kukatisha
tamaa na kumpa hofu ya anaekiuguza chama hicho japo sio busara kumkataza
mgonjwa anaekalibia kufa kunywa dawa na kumpa moyo atapona tuu japo
moyoni unajua lazima afe Madiwani wawili wa chadema wameamua kujiuzulu
Madiwani hao wanaojulikana kwa jina la
1.) ZACHARIA MFUKO Wa kata ya MASEKELO na
2.) SEBASTIANI PETER Wa kata ya NGOKORO
Sababu walizozitoa madiwani hao ni kushoshwa na uongozi kandamizi wa
Freeman Mbowe na jopo lake huku wakiumizwa na siasa za chama zao za
kutaka umaarufu kuliko kuwatumikia watanzania akiongea kwa jaziba
SEBASTIANI PETER Wa kata ya NGOKORO "alisema Chadema inapoteza mvuto kwa
watanzania hasa baada ya kutumia chopa tatu na milion mia tisa za chama
hicho huku kikiambulia kata tatu tuu " lakini mpaka sasa hakuna kikao
kilichoeleza na kufanya tathimini kwa nini chama kimepoteza kiasi hicho.
Aliendelea kusema mengi huku akisema yapo mengi yamewasukuma Kukikana
chama hicho ikiwa ni pamoja na ubadhirifu wa mali za chama ruzuku
kutumiwa na wachache, chama hicho kua na harufu ya ukabila na udini
alizidi kusema na mengine mengi ambayo si busara saana kuyasema.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment