
Kwa taarifa kutoka watu wa karibu wa Bi Josephine
Mushumbuzi ambaye pia ndiye mke wa Dk Slaa Katibu
mkuu wa chadema zinasema mwanamama huyo machachari
amejipanga vya kutosha kuingia kwenye siasa rasmi ambapo
anategemea kugombea ubunge mwaka 2015, Mtoa habari amesema
tayari Bi Josephine Mushumbuzi amejipanga vya kutosha
kuhakikisaha anagombea ubunge mwaka 2015 Kwasababu anaamini
uwezo wa kufanya hiyo anao, Lakini mpaka sasa haijulikani
atagombea ubunge kupita jimbo lipi!
Habari zinasema mipango ya mwanamama huyo ilikuwa agombee ubunge mwaka 2010 katika uchaguzi uliopita lakini kutokana na ushauri uliyokuwa amepewa na mume wake DK Slaa ndiyo maana alishindwa kugombea kipindi kilichopita lakini kwa sasa amejipanga vizuri kuhakikisha anaingia kwenye mapambano rasmi ya kisiasa kwasababu siasa anaipenda sana ndiyo maana amekuwa tayari kupambana na watu wanaokichafua chama hasa kupitia mitandao ya kijamiii na wakati mwingine alishawahi kushiriki katika maandamo ya chadema mkoani Arusha.,
Taarifa zaidi zinasema kuwa tayari mwanamama huyo ameisha unda timu maalum itakayomsaidia katika kipindi cha uchaguzi, na timu hiyo inaundwa na vijana wengi kutoka baraza la vijana Bavicha ili kuhakikisha anashinnda kiti cha ubunge hasa pale atakapoamua kutangaza jimbo atakalo gombea 2015.
Jojo The Fighter inamtakia Josephine a.k.a wajina wangu kila kheri katika harakati hizo!!

Bi; Josephine Mushumbuzi siku aliposhiriki maandamano ya chadema huko Arusha na kujeruhiwa vibaya.
Habari zinasema mipango ya mwanamama huyo ilikuwa agombee ubunge mwaka 2010 katika uchaguzi uliopita lakini kutokana na ushauri uliyokuwa amepewa na mume wake DK Slaa ndiyo maana alishindwa kugombea kipindi kilichopita lakini kwa sasa amejipanga vizuri kuhakikisha anaingia kwenye mapambano rasmi ya kisiasa kwasababu siasa anaipenda sana ndiyo maana amekuwa tayari kupambana na watu wanaokichafua chama hasa kupitia mitandao ya kijamiii na wakati mwingine alishawahi kushiriki katika maandamo ya chadema mkoani Arusha.,
Taarifa zaidi zinasema kuwa tayari mwanamama huyo ameisha unda timu maalum itakayomsaidia katika kipindi cha uchaguzi, na timu hiyo inaundwa na vijana wengi kutoka baraza la vijana Bavicha ili kuhakikisha anashinnda kiti cha ubunge hasa pale atakapoamua kutangaza jimbo atakalo gombea 2015.
Jojo The Fighter inamtakia Josephine a.k.a wajina wangu kila kheri katika harakati hizo!!

Bi; Josephine Mushumbuzi siku aliposhiriki maandamano ya chadema huko Arusha na kujeruhiwa vibaya.
No comments:
Post a Comment