YANAYO
TUFANYA TUWE WASWAHILI...
1.Unamwita mtu usiyemjua(wala kukutana nae kabla)aunt au anco.
1.Unamwita mtu usiyemjua(wala kukutana nae kabla)aunt au anco.
2.Asilimia 90 ya CD pamoja na cassete za muziki ulizonazo nyumbani ni feki (sio original copies).
3.Stoo yako imejaa vitu (makorokoro) kwa kuwa hutupi kwa kuamini kuwa ipo siku utayahitaji kwa mfano karpet ukilitoa hulitupi n.k.
4.Una
machupa ya maji matupu ya shampoo perfume pamoja na vipodozi
vingine umeweka tuu wala huna shughuli navyo.
5.Watoto
wako wote wana majina ya utani mfano babu ali,chidi,mamu,dida n.k.
6.Hakuna mtu katika familia yako anayetoa taarifa kwako anapo kuja kukutembelea mfano kaka,shangazi n.k.
7.Mifuko yako imejaa vitu kama vile vijiti vya kusafishia meno,tissue
n.k ulivyochukua sehemu kama vile mgahawani.
8.Familia yako ina migogoro na ndugu na hawazungumzi kwa muda wa siku 10 au zaidi.
9.Hupigi simu isipokuwa katika muda ambao gharama za kupiga ni nafuu(mfano usiku sana )na mara nyingi huwa una beep tu.
10.Ulipokua
mdogo nguo unazonunuliwa pamoja na viatu ni vikubwa mara mbili ili uweze
kuvivaa muda mrefu zaidi.
11.Wakati ukisafiri na ndege unabeba mzigo wa uzito mkubwa kuliko inavyoruhusiwa.
12.Unapomsaidia
mtu na akafanikiwa basi utakuwa unasema kama sio mimi asingekuwa vile
yule.
13.
Ualikwapo kwenye sherehe au mkutano hufika baada ya muda ulopangwa kupita
waweza zidisha hata masaa mawili mbele au zaidi.
14.
unapokuwa kwenye shere hutaki kuchukuliwa moving iwapo kunavideo
inayotengenezwa.
Amos C. Belege: likes this.
ReplyDeleteChristopher Haule: dats true jose hizo 14 behaviour tunazosana wabongo mi na wewe lazima kuna kama si chini ya 3 zinatuhusu kubali au kataa
ReplyDelete