19 August, 2011

HAWA NDIO WAKONGO BWANA!

Kati ya waafrika wanaojipenda na kuvaa vizuri nadhani Wakongo wanaongoza.Wakongo ni watu wanaopenda kuvaa vizuri, kujipodoa na hata kujichubua kwa wanaume ni mambo ya kawaida kwao.
Mfano mzuri ni wanamuziki wa Kongo walioko hapa Tanzania.Wakongo wako tayari kuwa na pea hata zaidi ya kumi za viatu au suti hata kama hana mahali pazuri pa kulala.


Mfano mzuri ni picha zifuatazo.



                                   Kijana wa Kikongo akiwa smart tayari kupigwa picha studio 


                                            Kijana wa Kikongo akikatiza mitaa ya Lubumbashi

  Mzee wa Kikongo akikatisha mitaa ya Kinshasa 
 Hata mazingira yakiwa machafu bado haijalishi.Unadhifu ni muhimu tu
Haijalishi unakaa nyumba gani inayotakiwa ni unadhifu
  Ume cheki mmechisho huo? Utampenda 
  Hapo jee? boonge la pozi 
Pozi matata
Hijalishi mazingira unayokaa unadhifu ni muhimu kila wakati 
 Kijana wa Kikongo akikatiza mitaa kwa mbwembwe nyingi na kinywani akiwa kaweka mtemba
Kijana wa Kikongo akiwa amejikoki kwa pamba za ukweli
Big up Wakongoman

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...