09 August, 2011

WADAU WANASEMA NINI JUU YA TATIZO LA MAFUTA NCHINI?


Haya ni baadhi ya mazungumzo yaliyofanyika katika mtandao wa marafiki  face book kulalamikia tatizo la mafuta nchini…

Othman Michuzi Alisema…

Pamoja na mkwara ulipigwa bungeni leo juu ya wauza mafuta,lakini bado jamaa wameidindia SIRI - KALI.kweli hii ni bongoland

Top of Form
Philip Benedict akamjibu 

Yan nashindwa kuelewa nani bosi nchi hii...hivi mwenye nchi mwenyewe yupo? cmskii kabsa...au halimhusu hili?

Abdallah Mwaipaya nae akasema…

Hii ndo hali halisi ktka vituo vya mafuta Dar!!!!!haki ya Mungu nchi hiiiiiiiiiii!!!!!!

 
poleni sana wenye magari yenu

 
jamani hii barabara, jana nimetembea kwa mguu na leo tena sababu daladala haliwezi kupita hapo

 Loh!tunaelekea kubaya sana n hii nchi ye2,umeme shida,maji shida sasa hd mafuta cjui nn tena kinafuata hp!

Hv watanzania wamelishwa nini na serikali? mbona wapole sana!


 habari ndo hiyo
 
Wapi hapo jamani?

 hapa sinza mori tena nasikia hawakuuzii zaidi ya mafuta ya elfu kumi tu nchi ishauzwa hii
 
Nchi hii ni sawa na baba ambae ameshashindwa kumkanya mwanae...
 
ndo mpaki magar yenu muweze kupunguza folen @ mwaipaya

 
sasa huyo bigbon nae akigoma inakuaje. . .

 
jaman na cc tuco na magari hayo madaladala yanamafuta kweli?mbona tunapotea


 kitakachofuata ni hewa. Hapa mafuta yalikuwa yanauzwa ya elfu 10 tu kwa gari uwe unataka zaidi au lah. Sasa tutaanza kupimiana hewa pia kama umeme na mafuta!

 
Yaani nimekuja hapo big bon sinza wamesema wanapumzisha machine kidogo,tumesubiri kwa saa nzima wanasema mafuta yamekisha,nimesogea GBP mbele ya big bon hola,kuna mtu kanambia faya wanauza nimeenda hola,hapa nimekuja hapa magomeni karibu na mataa hawauzii,hapa taa imewaka na inataka kuungua

 
duuuh bora uanze kutembea kwa daladala maana therez no nid kuwa na gar

 
Yaani Abby Moshi ndo hakufai mambo ni hayo hayo tangu asubuhi, wanasema hakuna mafuta kote...yaani tabu moja kwa moja, can U imaging sheli iliyoko karibu na keepleft cha YMCA moshi, ilikua ful foleni mpaka kukaribia round about ya posta Moshi..eti foleni ya mafuta tu hiyo, na hapo c kua yapo tumeambiwa hakuna..


 Kwani hayo madaladala yanatumia maji@Angel

 
kusave mafuta yako ili cku ikiwa mambo fulan haaaah ful kujidai


 Si suluhisho hlo

 
it beta n bush kwet mambo km hayo hakuna


 Yatakucost tu unapozungumzia mafuta unazungumzia kkila. Kitu katika uchumi,mafuta yakipanda bidhaa hupanda pia kwa sababu zinafuatwa na magari ambayo yanatumiia mafuta,nauli ya kwenu Lindi itapanda mara dufu,so mafuta hayamuathiri mwenye gari peke yake hata wasionamagari@Angel


 nakupa pole xana @mwaipaya naul itapandaje na mafuta yanatakiwa kususha,hku mambo pouwah naul imeshuka ,mafuta ndo uciceme kz kwenu

 
Haya bana nacc ngoja tuhamie Lindi


haaaaaah..unakaribishwa xana we tu


 Aisee kama huko kwenu yapo nunua unitumie kwa msg au bluetooth

 
huwa cinunuwi bal naagiza yanaletwa then nitakutumia
   km lita mia hv cjakutosha au zaid @mwaipaya

 
Mm hata lita mbili zantosha bado nimekwama kituo cha mafuta magomeni tangu saa sita


 
pole xana ngoja nifanye mchakato uwai futari au unasemaje maana maskan mbal kutoka magomen kwa lita mbil haitosh ngoja nikuagizie hamsin kwa leo kesho mia angalau yakusogeze

 
Na ukitoka hapo kwny folen ya mafuta unaingia kwny folen ya barabarani,namna hii c ht kale ka bby katakuwa hakakujui coz ukifika unakakuta kameshalala teh!TANZANIA YETU HII BANA!!!!

 
ni noumaaah n way out ndo nchi yako @holex felix



Ehee!ndio nch yangu nifanyaje tena!@angel


 Arusha pia leo petrol hakuna vituo vyote vys mafuta hii serikali ina mpango gani ina maana wenye vituo wana sauti kuliko serikali ama kuna kitu hapo kati

 
Ana inabidi tuliangalie hili suala kwa jicho la tatu


 
Samahani wananchi, sijafahamu sababu iliyofanya vituo vyote vya mafuta viwe vikavu. Is it shortage of supply or disagreement between serikali na garage owners?


 Ownerz wanapinga serikali kushusha bei ya mafuta kwa takriban tsh 2


  U duuu kwa mtandao huu tutafika kweli jamani tz?


Yaani bora wangeacha bei ya zamani tushajizoelea sisi
Bottom of Form

Shadrack Julius nae alisema hivi…

‎"Kabla haijafka saa kumi na mbili jion,wauza mafuta wote waanze kuuza mafuta,otherwise askar wetu wa jwtz waende kwe goodowns za mafuta wafungue mafuta,na pia manyanganywe leseni za kuuza mafuta",by hon,ZITTO KABWE
Top of Form

 
mh nimeshutka i thought wewe ndiye umeongea@shadrack

 
Jaman we wa wapi?hujaona symbol za quatation??mmh?ni mh kabwe,watch bunge saa kumi jion@nosim

 
au siyo? habar bure!

 
me wa umasaini@shadrack vitu kama hv mh sivifahamu mpaka nimeangalia mwisho ulivyomalzia mhmhmh


 we mkali mwanangu.


 Thnx wangu@flora

 
Ha ha ha,poaz wangu@nosim

 
Nimeipenda hyo @ shady

Feo Simon Sheddy
 
smtms kwenye familia hata houseboy anaweza utoa wazo zuri kuliko la mwenye nyumba the only problem huwa wanamignore, Zito kasema je baba atalikubali/kuongea chochote?


 Ndo hapo ss,tunasubir hyo saa kumi.kama serikal itasema chochote wangt

 
Vp tena wangu-watch bunge saa kumi@emma


 ila wanasemaka kaka!hii ni siasa tu,nasikia huko watu wanatembea kwa miguu


 Ndo ivo wangu,nimckia wazir muhucka,kajb politics tu na ahadi nono kama kawaida yao bt hali bdo iko vile vile@elly

 
dah!hii bongo sijui tutabadilika lini,umeme shida,mafuta shida,elimu ndo kabisa,ajir ndo mhh!afya ndo kabisa,labda ipo siku mna naoan maji yanazidi unga ss
Bottom of Form

Mohamedy Ismail aliuliza…
  
jamani naomba kuuliza???
rais wa tanzania yupo ???umeme haku ???
mafuta haku ???.
vyakula bei juu ??.
nauli bei juu ???
hapa nipo sheli bg born watu wanatawanywa kwa risasi ??
tutafika kweli????

Top of Form


 Big bon ya wapi???


aaaahhhhh, c mliamchagua kwa kura zenu?

 
bg bon hapa kariakoo
yani natamani cjuwi tunaelekea wapi

 
Me pia niko hapa big bon kkoo yan hii foleni dah

 
umeasahau na maji hayatoshi

 
Jamani yani 2015 kutawaka moto sana
mm najiuliza atakae gombea urais kwa tiketi ya ccm atawadanganya nn tena watanzania ???.


 mi dady nangombea kwa tiketi ya chadema naomba kura yako

 
mwangu kura yangu umepata maana hii ccm itatupele pabaya sana


mohamedy nunua ya vidumu ndo wanatoa hapo hapo ulipo chukua dumu lako nenda kanunue wanakuhuzia bt si kwenda na gari mie jana ndo nimefanya hivyo

 
kweli alafu mafuta sasa ivi ukitowa elfu kumi unapewa mafuta ya elfu tano ???
hii nchi sasa naonakabisa imeshakuwa mbaya

 
Pole kaka @mo ss sijui tulie na umeme au mafuta au chakula kwani vyote ni mtiani kwetu eee Mola tuhurumie utupe njia ya kutoka katika haya km amani tunayo lakini maitaji muhimu yanatokea je tutafika kweli tuendako rais yuko bt hizo kero zote hazimgusi hata kwa theluth atafil vip machugu yetu?


 raisi yupo anatabasamu tuuuuuuuuu! najivunia kuwa na raisi peace anatabasabu hadi kwenye misiba tutamkumbuka kwa tabasa tu nothing else

 
kusema kwali mm vjuwi rais nitamkumbuka kwa kitu gani
i real miss mkapa alijitaidi sana
kikweta cjuwi nini masikini ??.

Bottom of Form

Mwesy Muhingo alitoa wazo hili…

HIVI WANANCHI WAKIAMUA KOCHOMA MOTO PETROL STATIONS ZOTE AMBAZO HAZIUZI MAFUTA, JE SERIKALI ITAENDELEA KUKAA KIMYA? JE WAUZA MAFUTA WATAENDELEA KUFUNGA VITUO VYAO?
Top of Form


 
hilo zoezi likifanyika litazaa matunda Mwesy coz wengne watahofia kupoteza vtuo vyao.nahii serikali yetu imezid kuwa bubu cjui wanawaogopa hao wamiliki wa vituo vya mafuta


 ‎@Light, itabidi tu tufanye hivo mama....

 
Boni, kweli kaka, itabidi itabidi tuanze aisee, kwa sababuserikali yetu huwa haifanyi maamuzi mpaka ione madhara ya kutofanya maamuzi

 
Nadhani tungechoma magari ya kifahari ya serekali kwanza.Wafanyabiashara hawatoi huduma wanatafuta faida.Tatizo ni kwamba wenye kuuza mafuta wote wapo BUNGENI na serekalini.Amkeni ndugu zangu.Hata wa Malawi wametushinda???Kwel Tz tuna amanii

 
wesy tuko kwenye kikao cha kamati ya bunge kuhusu tatizo la mafuta!!!! tukitoka nitakupa jibu nini kifanyike!!!


 Boni amka ndugu yangu! Wabunge karibia wote ndio wafanyabiashara hiyo na ndio maana wameshindwa hata kuzibita uchakachuaji wa mafuta ndugu yangu.Fanya utafiti kwanza.Serekali makini ingeshafanya maamuzi mazito tayari.Wapo busy wanajiandaa na uchaguzi wa chama chetu mwakani baada ya hapo wataanza kujiandaa na wa 2015

 
Amini mtakaa vikao sana.Nyie si watu wa posho?Semina elekezi hazikuwasaidia vikao vya dharura vitafua dafu??Pooor me nimechoka kudanganywa


 
Mi naanzia Kibaha hadi Ubungo

 
velle ntakupa majibu ya kikao si mda. tafadhali msichoke vikao. bila vikao mambo yakai sawa. vumilia


msichome vituo wakubwa. subira ya vuta kheri. mmesau kauli zetu za kitanzania wananchi???

 
Ha ha ha, naona Amini anatuzingua, hivo vikao mara zote maamuzi yake yanaumiza wananchi, ila tukishaxhoma vitaano tu, wengine wote watafungua, bila kujali ni kituo cha waziri, mbunge, mkurugenzi wa Ewura wala Kikwete, na hata kama hawana mafuta, watanunua kwa haraka ssana. Yaani hiyo solution pekee ninayoiona.



 mwesy hiyo ni solution pia. unakumbuka mabibo wakati wameficha maji kisimani, watu tukavunja mlango wa wadeni maji yakatoka in no minutes mabwenini?? hebu tuvute subira tuone kikao kitatoa majibu gani. ninavyoongea na ninyi hapa, mh january makamba anachangia. majibu yakitoka tutajua tufanye nini!!!!

 
That won't be the solution either!


 Andrea, then what should be done brother.


 That's the question to ask: the problem with this country is that most people lack seriousness in issues that even affect them. They end up complaining and when a call for action is made they dissappear. Unakumbuka tukiwa chuo kukiwa na maandamano wengine wanapanda daladala wanasepa, tukawa tunachuma fimbo kule kwa Luhanga tunasimamisha daladala na kuchapana bakora kama watoto coz huyu anayeondoka bumu likipanda hakatai anakula...! So hapa tuna kazi kubwa ya kuelimishana kwanza ili watu waache unafiki wa kushabikia tu halafu ukisema tuandae maandamano kama wanasheria utaona nani atakuja, ukisema tuandae tamko utaona nani ataunga mkono na nani atakaa kimya! Waingereza wanasema FIRST THINGS FIRST. So first is serious education bila kuangalia mambo yaliyopo sasa kwani haya ni treiler tu ya movie to come! Tusiwe tunaangalia matukio leo tunaema mafuta, mbona hatusemi effect za mambumu tena, no one is even thinking of it..! na nikilisema hili watu wananishangaa unaongelea mabomu wakati tunataka mafuta...! Narrow thinking! Tunapaswa kuachana na matukio tuelimishane kuhusu UZALENDO KWANZA! Tukiweza hilo I am telling you hakuna atakayemwambia mwenzake kuandamana, kutakuwa na consensus ya wote, na hata akitokea mtu kutangaza course of action kutakuwa na ukubalifu wa wote. Bila hilo we are blah-blah-bing tu hapa. Mimi nimeliona hili na nikaanzisha page inayoitwa TUIOKOE TANZANIA kama njia ya kujengena kimtazamo na kuanza kudeal na vitu kiukweli ukweli. Welcome to the page everybody. First Things First brother..


 Ha ha ha Andrea, umenikumbusha modality za chuo. Sijui nani katuroga sisi watanzania....

 
Ha ha haa.. Yaani viongozi wanatake advantage ya hali hii. Tunapaswa kuacha complacency... hapo tutasonga mbele. We utashangaa hata uchaguzi ukiitishwa leo bado watu wataipigia CCM JAPO HAITASHINDA!!

 
Ha ha ha, japo watu wa kuipigia kura CCM wapo, lakini utafiti unaonyesha wamepungua sana, wamebaki wachache sana....


 Hao wachache ndo wananichanganya akili kaka


Fatma Muhingo Nimeona mna mawazo mazuri sana @Andrea, Valle kwa kweli mmeongea neno la msingi. Valle anawajua vizuri ndio maana wanajidai kuitisha kikao huku wakijua watabuy time kusifanyike maamuzi, kwani inashindikana kuweka askari kila kituo na mafuta yakauzwa? huu ni mchezo na ni mchezo mchafu ambao umekuwa ukichezwa kama pool katika serikali hii ya awamu ya NNE, UNAFIKI NA UZANDIKI WA VIONGOZI WANAOIJIITA WASHAURI WA SERIKALI...UTAWASIKIA WANAKAA WANASEMA "LAKINI KATIKA HILI BWANA RAISI HALIMGUSI KABISA WAZIRI NDIYE KASHINDWA KUFANYA MAAMUZI," KAMA NCHI ITAKUWA INAENDESHWA KWA EMEGENCY CALL HATUFIKI POPOTE. ANDREA naungana na hoja yako 100% tuikomboe Tanzania. Mwesy tukichoma moto tutasababisha maafa maana vituo vingi viko karibu na makazi ya watu watoto watapoteza maisha, hii inaweza kufanyika bila moto...ni kuwafungia wabunge huko bungeni hadi yauzwe maana wao ndio wenye biashara.


@Shilenjela umenena vyema mimi naona wakati umefika wa rais kuhusishwa moja kwa moja na kushindwa kazi kwa aliowateua..! Holiday litaindoa unafiki unafiki WA wanaoikoroga nchi yetu kwa kujikomba komba kwa mtu ambaye yeye mwenyewe anajua sasa hivi ameshindwa kuiongoza nchi. Nchi siyo NGO bwana..!



‎@Andrea, ni kweli kabisa. Nchi sio NGO, lakini pia NGO inayoendeshwa hivi pia ni ya kitanzania huwezi kukuta NGo serious ikiwa inajiendesha tu kama kasuku, leo mabomu...hao tunasema mabomu...babu loliondo nchi nzima loliondo....leo mafuta....kesho sijui kitaibuka nini...TUMECHOKA na TUAMKE sasa! Hatuitaji utafiti kukiri kuwa nchi sasa haina SERIKALI inayojali maslahi ya nchi.

 
Unajua kwa nini serikali yetu inashidwa kuchukua hatua ni kwa sababu wao wenyewe ni wabia wa biashara hizi kama si wao ni watoto wao.... kwa sababu Waasia kamwe wasingekuwa na nguvu hizo hata mara moja. Aidha hawa jamaa wamekuwa wafadhiri wakubwa wa chama cha watu wa kijani so hawana ubavu wa kuwaonya hata mara moja

 
Kuna mtu aliwahi kusema kwamba janga kubwa kuliko yote ambayo Tanzania inayo kwa sasa na RAISI ALIYEPO MADARAKANI, mi nakubalianan kabisa na huoo usemi, coz nafikiri mimi ningekua ndo raisi mpaka sasa ningeshawanyang'anya licence wauza na mafuta na kurevolk titile zao za umiliki wa hizo plot 4 public interest, na hizo petrol station nikazigawa kwa watu wanaoweza kufanya biashara


I simply say Yes! Son @mwesy. Kuna wabunge wawili wamenipa mahope kwa hoja zao na maswali "hivi serikali ilibinafisha hadi mamlaka na uwajibikaji wake?" Zitto. "...Haiwezekani hadi sasa serikali imekaa kimya hebu semeni kitu...toeni tamko". January Makamba


 Ã©@¥"$£Mumy, this country is full of movie actors and directors, am telling you, kesho wauza mafuta wengi hawatafungua vituo vyao na serikali itakua kimya, kish

 
é@¥"$$a kikwete nae ataongea hayo hayo. let's wait and see.
Bottom of Form


Source: Face book August 2011

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...