Cheza kwa raha zako baba
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
02 May, 2012
ULISHAWAHI KUMUONA RAIS JK AKISAKATA RUMBA?
Hotuba
ya JK kutoka Mei Mosi kule Tanga jana, hasa sehemu ya mwisho kuhusu
wizi wa pesa za umma pamoja na jitihada zake za kuwaasa viongozi wenzake
kuacha tabia hiyo ya kuzikwiba. Amelipongeza Bunge kwa kujadili kwa
kina taarifa ya CAG na kutoa mapendekezo. Hivyo ameahidi kuyafanyia kazi
akianzia na Wizara zilizotajwa na CAG.Bravoooo Mukulu kwa mineno ya
Hekima hiyo au siyoooo!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment