Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
07 June, 2012
WATU WANA MAMBO!!! Eti laiti kama facebook ingekuaga dini basi hizi ndo zingekuwa amri zake!!!! Ili watu waishi poa
1. Usiwe na mpenzi mwingine tofauti na yule uliyemwandika katika profile yako
2. Usishobokee msichana asiyekuwa mpenzi wako. Usimtongoze wala kumuhusudu
3. Usimtaje taje hovyo mpenzi wako katika status usije ukaonekana bwege.
4.Wakumbuke rafiki zako kwa kucomment au ku-like status zao.
5.Waheshimu wavulana kwa wasichana upate comment nyingi na like katika status zako.
6.Usishobokee mastaa
7.Usitoe namba za simu hovyo, ichunge email yako na kamwe usimpe mpenzi wako password
8. Usiibe status ya mwenzako.
9.Usiwe muongo usije ukaumbuka siku ya kukutana.
10.Usitamani profile picture isiyokuwa ya kwako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment