Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
24 October, 2012
Samsung yaleta simu inayofukuza mbu!
Kampuni ya Samsung Tanzania, imezindua simu ya Samsung Galax Pocket yenye uwezo wa kufukuza mbu usiku, pindi mtumiaji anapowasha.
Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam na Mwanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Belinda Lawuo ambaye ni miongoni mwa watumiaji watano waliopata fursa ya kutumia simu hiyo siku chache kabla ya uzinduzi uliofanyika juzi.
Lawuo alisema alipopata simu hiyo alifurahishwa na uwezo wake wa kufukuza mbu kupitia programu ya Mosquito Repellant.
Naye Meneja Mkuu wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar alisema simu hiyo inampa mnunuzi thamani halisi ya pesa, kwani inauzwa bei nafuu, huku kukiwa na ofa mbalimbali, ikiwemo kutuma ujumbe bure mara 100 kwa mwezi na kifurushi cha intaneti.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment