07 June, 2013

NIMERUDI NA NGUVU MPYA


Ni muda mrefu nimekua kimya, na wasomaji wa blog yangu wame miss habari motomoto nilizokua nawahabarisha. Aidha ‘news’ ambazo mngependa kuzisoma katika blog ya jojo sikuweza kuzi post kwasababu ya maswala yaliyokua nje ya uwezo wangu.


Sababu hiyo ndio iliyofanya mfumo wangu wa maisha ubadilie kwani kwa sasa naitwa mama! Nimesha pata mapumziko yangu ya uzazi na sasa nimerudi kwa kasi kubwa zaidi. 

Msomaji wangu kaa tayari kwa habari, michapo, hadithi na mambo mengine mengi utakayopenda kusoma.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...