AZAM
TV; nimekuwa nikifuatilia sana wanotetea hoja za YANGA dhidi ya AZAM TV,
nimekuwa msikivu sana lakini kuna maeneo naona mnatawaliwa nahofu tu
sio kingine. kwa mfano suala la Azam Tv na Azam Fc, hebu angalieni
Supersport Tv na Supersport United. Pili, Yanga inanung'unika kurushwa
mechi hizo LIVE kutapunguza mapato sababu inategemea viingilio hivyo
vitapungua (mungu wanguuu!). tatu, tunapolinganisha
na nchi za Ulaya ktk maendeleo ya soka, tujipime na uendeshaji wetu.
nne, suala la mgongano wa maslahi kwa Wallace Karia Mkuu wa Kamati ya
Ligi na Said Mohamed Mkurugenzi wa Makampuni ya Azam, na Makamu
Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi. najiuliza shida iko wapi kwa hawa kwenye
suala hili? hofu ya nini? je waliingiaje kuongoza kamati ya ligi kuu?
hebu tumtazame David Gill ataipendelea Man united pale FA au atafuata
sheria? je Karia na Said Mohamed hawkuchaguliwa kisheria?
@wazo tu hili, sina upande wowote ila nazingatia kanuni zilizotumika, ruksa kunielimisha,
By Markus Mpangala
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba linaanza vikao vyake tena leo mjini Dodoma, huku kukiwa na jitihada kubwa za kujaribu kuweka udh...
No comments:
Post a Comment