Flora Mvungi (Hadija) akijifungua. Kutoka kwa vyanzo vyake, mbali na picha za mtoto, Mwandishi wetu alilibamba tukio la Flora akijifungua
Jumatano iliyopita katika Hospitali ya Marie Stopes iliyopo Sinza, Dar.
Mtoto wa Flora Mvungi.
Kwa
upande wa Flora alikuwa na haya ya kusema: “Namshukuru sana Mungu kwa
sababu niko salama na mwanangu, ukweli mwacheni mama aitwe mama kwani
kuzaa siyo kazi rahisi”.
H.
Baba alimalizia kwa kusema kuwa kama walivyosema awali kabla mtoto huyo
hajazaliwa kuwa jina lake ataitwa Tanzanite, ndiyo hivyo itakavyokuwa
jina hilo ndilo litakalotumika.
Lakini katika hali nyingine watu mbalimbali wamemponda H Baba kwa kuzivujisha makusudi picha za kitoto hicho kichanga" Huyu H Baba hajielewi kabisa kwa nini anamdhalilisha mwanae hata siku 2 hajamaliza kesha aanza kumning'iniza kwenye vyombo vya habari huu ni ushamba na upuuzi" Alisema Mama Hemed wa Kinondoni Stereo.
Lakini katika hali nyingine watu mbalimbali wamemponda H Baba kwa kuzivujisha makusudi picha za kitoto hicho kichanga" Huyu H Baba hajielewi kabisa kwa nini anamdhalilisha mwanae hata siku 2 hajamaliza kesha aanza kumning'iniza kwenye vyombo vya habari huu ni ushamba na upuuzi" Alisema Mama Hemed wa Kinondoni Stereo.



No comments:
Post a Comment