27 October, 2013

BABA YAKE WEMA SEPETU AFARIKI DUNIA

Balozi Issac Abraham Sepetu ambaye pia ni baba mzazi wa Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu amefariki leo asubuhi katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar es Salaam alipokua akitibiwa.

Aidha msemaji wa familia aliyekataa kutaja jina amesema Sepetu alikua akisumbuliwa na ugonjwa wa Kisukari na Kiharusi.

Hadi mauti inamkuta alikua ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji ya Vitega uchumi Zanzibar.

JoJo The Fighter anaungana na waombolezaji wengine wote katika kipindi hiki kigumu... Bwana alitoa na Bwana ame twaa; Jina lake lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...