Wananchi wenye hasira
wakifunga njia kwa kutumia vyuma vya kingo Za daraja kuzuia msafara wa
Dkt. Emmael Nchimbi kupita wakati akienda kwenye mkutano wa hadhara
ambao baadae ulifanyika kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya kutwa
ya matarawe iliyopo katika manispaa ya Songea
Diwani wa kata ya
Matarawe (CCM) Makene aliyesimama katikati akijaribu kuwatuliza
wananchi wa kata hiyo ambao walifunga barabara itokayo mjini kwenda
matarawe kwa zaidi ya masaa mawili wakimshinikiza mbunge wao Dkt.
Nchimbi awasaidie kulipanua daraja ambalo wamedai kuwa limekuwa
likisababisa ajali nyingi pamoja na vifo aliyesimama nyuma yake ni Dkt
Nchimbi
CHANZO: LINDIYETU
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment