Baada ya Ney Wa Mitego kutoa Track
ya Salam Zao, Kuna tetesi Kuwa Muandaaji wa BSS Madam Rita anampango
kumfungulia Kesi ya Madai Ney wa Mitego kwa Kumchafua (Defamation) kwani eti
alisema Madam Rita huwa hatoi zawad anazoziahidi kwa washindi wa shindano lake
la kusaka Vipaji, Je Kama ni kweli kuhusu Kesi hii Ney wa mitego ataweza kulipa
milioni 500? Tayari msanii huyo amesema yuko tayari kwenda mahakamani na
ataweka mwanasheria wa kumtetea.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment