Jeneza
lenye Mwili wa Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,ukitemshwa katika
kaburi wakati wa mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya
ya Magharibi Unguja leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
akisalimiana na Padri wa Kanisa Katoliki la Minara miwili Mjini Zanzibar
Cosmas Amani Shayo, alipowasili katika eneo la Mazishi ya Marehemu
Balozi Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya
ya Magharibi Unguja leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akiwa na viongozi wengine akiwemo Makamo wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania DK.Mohamed Gharib Bilali,katika Mazishi ya Marehemu
Balozi Issac Abraham Sepetu,yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya
ya Magharibi Unguja leo
Jeneza
la Marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,likiwa limebebwa na Askari
Polisi na kulifikisha katika kaburi lake yalipofanyika mazishi kijijini
kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi Unguja
Padri
wa Kanisa Katoliki la Minara miwili Mjini Zanzibar Cosmas Amani Shayo,
akiuombea mwili wa marehemu Balozi Issac Abraham Sepetu,wakati wa
mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi
Unguja leo.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment