Bibi mmoja ambaye jina
lake halikuweza kufahamika amesadikika kudondoka kichawi maeneo ya
Tabata Kinyerezi Kisiwani baada ya wenzake aliyedai alikuwa nao
kumuacha.Bibi huyo ambaye amechezea kipigo kwa Raia kwa kumtuhumu ni
mchawi amedondoka Asubuhi ya LEO katika maeneo hayo huku akionekana
kutokuwa na kumbukumbu nzuri au kuwa na kiweru weru baada ya
kufumaniwa na RAIA.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment