07 January, 2014

ZITTO KABWE AJILIPUWA


Mheshimiwa Zitto ajilipua asema wapinzani wakishika dola, raia hawatapona. Adai viongozi wanaopekua mawasiliano ya raia ni hatari.
Wakati huo huo; Mahakama kuu, kanda ya Dar es Salaam itatoa hukumu leo mchana saa nane dhidi yake pamoja na chama chake cha CHADEMA
Aidha kesi hiyo imeahirishwa kwasababu hakimu anayesikiliza kesi hiyo hajamaliza kuandika hukumu ya kesi hiyo...
Kwa habari zaidi endelea kutembelea hapa.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...