SIFA ZA MUOMBAJI
1. Awe
raia wa Tanzania na mwenye akili timamu
2. Awe
na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea
3. Ajue
kuongea kiingereza au kiarabu
4. Asiwe
ameshiriki kwenye makosa yeyote ya jinai siku za nyuma
5. Awe
na umri wa kuanzia miaka 22 hadi 37Awe amepitia mafunzo ya JKT, MGAMBO
au kwenye vikosi vya ulinzi vinavyotambuliwa na Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.
6. Awe
na ezoefu wa kazi ya ulinzi kwa muda wa miaka miwili (02) na kuendelea.
7. Awe
na hati ya kusafiria (Passport)
8. Nauli na gharama zingine ni juu ya Mwombaji
mwenyewe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi;
Barua pepe:bravojobc@yahoo.com
Skype:
bravojobc
+255713260203
+255714318681
No comments:
Post a Comment