07 March, 2014

TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA WAPISHI WA KIKE NCHINI DUBAI















Mwenyekiti wa Bravo Job Center Mhe Abas Z Mtemvu (MB) akikabidhi visa na tiketi kwa ajili ya kwenda Dubai
Kampuni ya Bravo Job Centre Agency ya Jijini Dar-es Salaam, yenye makao yake Keko Bora Temeke. Inatangazo nafasi za ajira ya wapishi wa kike

SIFA ZA MUOMBAJI
1.  Awe raia wa Tanzania na mwenye akili timamu
2.  Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea
3.  Ajue kuongea  kiingereza  au kiarabu
4.  Asiwe ameshiriki kwenye makosa yeyote ya jinai siku za nyuma
5. Awe amepitia mafunzo ya upishi katika chuo kinachotambuliwa na Jamhuri ya muungano wa Tanzania
6. Awe na uzoefu wa kazi ya upishi usiopungua miaka mitatu (3)
7.  Awe na hati ya kusafiria (Passport)
8.  Awe na afya nzuri (Asiwe na magonjwa ambukizi)
9. Awe na umri wa kuanzia miaka 22 mpaka 35
NB: Mapishi ya kiarabu ni sifa ya ziada
Kwa maelezo zaidi  wasiliana nasi;
Barua pepe:bravojobc@yahoo.com
Skype:        bravojobc
+255713260203
+255714318681
Mwenyekiti wa Bravo Job Center Mhe Abas Z Mtemvu (MB) akiwa na wafanyakazi walio kabidhiwa visa na tiketi kwa ajili ya kwenda Dubai

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...