
SIFA ZA MUOMBAJI
1. Awe
raia wa Tanzania
2. Awe
na akili timamu.
3. Awe
na elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea
4. Ajue
kuongea kiingereza au kiarabu
5. Asiwe
ameshiriki kwenye makosa yeyote ya jinai siku za nyuma
6. Awe
na umri wa kuanzia miaka 20 hadi 35
7. Awe
amepitia mafunzo ya Udereva kwenye chuo cha udereva kinachotambuliwa na Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania.
8. Awe
na ezoefu wa kazi ya udereva kwa muda wa miaka miwili (02) na kuendelea.
9. Awe
na hati ya kusafiria (Passport)
10.
Nauli
na gharama zingine ni juu ya Mwombaji
mwenyewe.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi;
Barua pepe:bravojobc@yahoo.com
Skype: bravojobc
+255713260203
+255714318681
Kwann iwe kidato Cha nnetu kwaiyo ukiwa hujafika hupati kazi
ReplyDelete