Aisha Sued anayedai kupigwa na Chidi Benz
Mwanadada Aisha Sued anayeishi Ilala karibu na Kituo cha basi Msaada
Garage amedai kuwa siku ya Pasaka ameshambuliwa na Msanii wa Bongo flava
Rapper Chidi Benz na kuumizwa vibaya mdomoni hadi kushonwa nyuzi 18,
Tukio hilo inasemekana lilitokea katika Bar moja iliyoko maeneo ya Ilala
usiku wa sikukuu ya Pasaka, kwa wakati huu Chidi Benz Tangu usiku wa
siku ya Pasaka tarehe 20 April 2014 ametiwa nguvuni na jeshi la polisi
na yupo kituo cha polisi Pangani Ilala kwa madai ya Shambulio na
kumuumiza vibaya Aisha Sued
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment