Hii Habari nimeisoma katika Gazeti moja
Jana kuwa Diamond anahangaika kuwasiliana na Beyonce ili wafanye Wimbo
Pamoja , Inasemekana Diamond alitafuta Number ya Beyonce kwa bahati
nzuri akaipata na kumpigia simu na kumweleza anachotaka ila Beyonce
akamkatiza na Kumuuliza huna Manager ? Na Kisha kukata simu!
...kwani
Maswala ya Kazi Kwake lazima yapitie kwa Manager akiwa na Maana kuwa
Manager wa Diamond Awasiliane na Manager wa Beyonce ndio Waanzie hapo
kama kikieleweka poa , Mhh!!! Goodluck Brother kama ni kweli na Ufuate
Protocol
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment