Hukumu ambazo ziliwahi kutolewa hapo awali ziligeuzwa na kuwa kifungo cha maisha jela.
Mtuhumiwa Ubale Sa'idu Dotsa, alijitetea mahakamani Jumatano, akisema kuwa shetani ndiye aliyemsababisha kumbaka msichana huyo.
Alisema hakujua kama alikuwa ameambukizwa virusi vya UKIMWI.
Dotsa alisema kuwa msichana huyo alimfanya kupata hisia alipotembelea duka lake mara kwa mara nyakati za usiku na ndio maana akambaka.
Hakimu Faruk Ahmed, alipuuza kilio cha mzee huyo aliyetaka mahakama kumsamehe.
Alisema mzee huyo kwa jina Dotsa alikuwa ametenda zinaa, kitendo ambacho adhabu yake ni mtu kuuawa kwa kupigwa mawe.
No comments:
Post a Comment