Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki
katika sherehe ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulioasisiwa na Mwalimu J.K.Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume Aprili 26
mwaka 1964 hafla hiyo iilifanyika jana kwenye viwanja vya Ikulu na
kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais
Zanzibar Seif Ali Idd, Waziri Mkuu Tanzania Mh. Mizengo Pinda na
viongozi mbalimbali wa serikali taasisi za dini na vyma vya siasa,
Kushoto ni Mke wa Rais mama Salma Kikwete na kushoto ni Mkewa Rais wa
Zanzibar Mama Mwanamwema SheinRais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakiwalisha keki
wake zao katika hafla hiyo. Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
akibonyeza kifaa maalum cha kufyatua mafataki wakati wa hafla ya
kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.
gRais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein kulia, Dr. Gharib
Bilal Makamu wa Rais wa pili kutoka kulia ni Balozi Seif Ali Idd Makamu
wa pili wa Rais Zanzibar wakiongoza watanzania katika hafla hiyo. Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
akimkabidhi cheti Kijana Calvin Nyoni Mshindi wa Musiki wa kizazi kipya
kwa ajili ya sherehe za Muungano wa Tanzania Kikundi cha muziki kikiburudisha katika hafla hiyo kwenye viwanja vya Ikulu. Babu Tale Meneja wa Diamond kushoto nia Mkubwa Fella kiongozi wa kundi la TMK Family walikuwepo pia. Kulia ni Mzee Nyantori kutoka Idara ya Habari Maelezo Mdau Cliford Tandali katikati na Nyakia kutoka CCM Makao makuu. Waziri
wa Habari, Maendeleo ya Vijana Utamaduni na Michezo Dr. Fennela
Mukangara akizungumza na Mhariri Mtendaji wa TSN Bw, Gabriel Nderumaki
na mdau Mabhare Matinyi katikati. Wake wa viongozi Rais
wa Jamhuri ya Muungano pamoja na wake wa viongozi wakifuatilia burudani
No comments:
Post a Comment