Katika salama za pasaka viongozi wa dini
wa katoliki 32 wamesema maoni ya wananchi katika rasimu ndio msingi wa
katiba hivyo wamewataka wajumbe wa bunge la katiba wa yaheshimu kama
yalivyo wasilishwa na jaji Warioba bungeni,wamesema wajumbe wa tume
waheshimiwe kwakua taasisi zote,mtu mmoja mmoja na makundi mbali mbali
ya kijamii yalipata nafasi kupeleka maoni yao mbele ya tume ya Warioba, hivyo wanapashwa kuheshimu rasimu hiyo iliyo beba maoni ya
wananchi hakuna haja ya wakuidharau tume iliyo undwa na watu makini na
wanao heshimika katika taifa letu
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
23 April, 2014
MAASKOFU WATOA MSIMAMO WAO KUHUSU KATIBA! FUATILIA HAPA
Katika salama za pasaka viongozi wa dini
wa katoliki 32 wamesema maoni ya wananchi katika rasimu ndio msingi wa
katiba hivyo wamewataka wajumbe wa bunge la katiba wa yaheshimu kama
yalivyo wasilishwa na jaji Warioba bungeni,wamesema wajumbe wa tume
waheshimiwe kwakua taasisi zote,mtu mmoja mmoja na makundi mbali mbali
ya kijamii yalipata nafasi kupeleka maoni yao mbele ya tume ya Warioba, hivyo wanapashwa kuheshimu rasimu hiyo iliyo beba maoni ya
wananchi hakuna haja ya wakuidharau tume iliyo undwa na watu makini na
wanao heshimika katika taifa letu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment