Hawa ni Baadhi ya watu wakiwa katika mtambo huo Kijijini Simiyu
Baadhi ya
akina Mama wameamua kutengeneza Pombe Haramu ya Gongo wakidai kuwa
wanafanya hivyo kutokana na hali Ngumu ya Maisha, wakizungumza kwa
nyakati tofauti wamesema kwamba kumekuwa na maisha magumu hali
iliyosababisha wajihusishe na bishara hiyo na kudai kwamba ndio njia
pekee inayo wapatia Kipato zaidi.
Hata
hivyo Juhudi zinaendelea kufanyika ili kukutana na wahusika zaidi
wanaoishi eneo hilo kujua kama kweli wapo sawa na pombe hiyo kuuzwa
katika maeneo hayo.
No comments:
Post a Comment