H.baba kutoka wikiendi iliyopita amefanya ziara ya kutembelea familia ya
James Dandu ambayo iko Mwanza ambapo pia alifika mpaka lilipo kaburi
lake Ngudu, Kwimba hapo H.baba alipalilia pamoja na kutoa heshima zake
kwenye kaburi la Muasisi huyu wa tuzo za Tanzania.
H baba akifanya usafi kwenye kaburi la Dandu.
H. Baba akiwa na wazazi wa marehemu Cool James
No comments:
Post a Comment