Habari zilizosambaa kutoka Kwenye Gazeti Moja zinasema Familia ya
Diamond Pamoja Na marafiki walishangazwa na Kitendo cha Diamond
Kuzipeleka Tuzo Saba Alizoshinda kwa Wema Sepetu Badala ya Kuzipeleka
Nyumbani Kwake...Pia inasemekana Ule Ukaribu wa Diamond na Mama Yake
Siku hizi Umepungua Hata Kwenye Tuzo za Kill Mama yake Hakuudhuria Kama
Kawaida yake na Tulivyomzoea....Wengine Wameanza Kusema kuwa ni
Kwasababu Mama yake Hamkubali Wema Sana So siku hizi Anajitenga...Pia
Dada Yake wa Hiari Halima Kimwana Hakuonekana Ukumbini kwa Kile
kinachosemekana aliogopa Team Wema Kumzodoa....
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment