Kama mnavyojua dada yetu MASOGANGE
kwa muda sasa yupo nchini SAUZI na amekuwa sio mchoyo wa PICHA zake,
wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa
INSTAGRAM
Sasa mimi sijajua SAUZI anafanya nini...(Kwa bongo hapa huwa anajishughulisha na kazi ya u-VIDEO KWINI)
Kupitia kile anachoweka huko INSTAGRAM hatimaye imedhihirika wazi kwa jamaa hapo pichani anaitwa Louis Dolnard.... ndio mpango mzima kwa dada yetu...STORY INAANZA HIVI:
Picha ya kwanza ya huyu jamaa alipost miezi miwili iliyopita!!!
Wiki iliyopita alitupia tena picha ya huyu jamaa bila kuandika chochote
......washambenga tukahisi kuna....MAUMIVU NIACHE ....MAHABA NIKUMBATIE
hapa....hahahahahaha!!!!
No comments:
Post a Comment