26 September, 2014

BAADA YA KUVUNJA NDOA YA MSANII BOB JUNIOR SASA ANASWA NA DIAMOND PLATZNUM WAKIWA NA SANDALLS TU!!



Muigizaji  Mkenya aishiye Ujerumani asieishiwa na vituko sasa avunja Rekodi baada ya kutupia Picha akiwa na Mwanamziki Diamond huku akiwa amevalia viatu vya Gesti , tukio hilo lilitokea baada ya Muimbaji huyo Diamond Platnum  ambaye nae ni sukari ya warembo Tanzania ,  kwenda kufanya Show nchini Ujerumani ,
10584105_1458808057705634_701378121503242671_n
TUJIKUMBUSHE KUHUSU ASHLEY  NA BOB JUNIOR
Kama haitoshi kitendo kilichowashtua mashabiki wengi wa Muigizaji huyo kutupia picha hiyo ilhali ikiwa inautata juu ya nini kinaendelea kati ya watu hao wawili ukizingatia kuwa siku za Nyuma muigizaji huyo Ashley Toto alipelekea ugomvi mkubwa na kusababisha kuvunja ndoa ya Mwanamziki Bob junior na mkewe.


1461590_10201985559908163_765338186_n
baada ya mke wa Bob Junior kudai kuwa licha ya kuwaona beneti kwenye picha mbalimbali Ashley na mmewe, pia alikuta Nguo ya ndani ya msichana huyo baada ya mumewe kurudi Tanzania kutoka kwenye show ambaye alipromotiwa na Ashley Toto, hali hiyo ilipelekea  kuvunjika kwa ndoa na mmewe .

10622162_10204248419878248_2015211742_n
Bob junior na Ashley Toto wakiwa Ujerumani

1385651_10201854757758191_2105505582_n
Bob Junior na Ashley Toto wakiwa KENYA
Mashabiki walipoona Ashley Toto ametupia picha hiyo tena ikionyesha utata mkubwa ndipo walikuja juu na kutaka kujua nini kiliendelea kati ya Diamond na Ashley, na je Diamond   anampango gani na Ashley maana kwa sasa haeleweki kwani  Diamond anasemekana kwasasa amembwaga MADAM WEMA SEPETU na kuamisha penzi lake kwa mrembo MENINA  na hata vikao vya harusi vimeanza kati ya mama yake Daimond na Menina  huku Wema akiwa ametengwa

jkkkkkkkk
Meninah anaesemakana kulikamata penzi la Diamond kwa sasa

wemasepetu (1)
Wema sepetu
HUU NDIO MKANDA MZIMA WA ILIVYOKUWA
Katika kitendo cha kumshangaa muigizaji huyo Mashabiki wamemshangaa nae kwa kitendo cha kuliingilia penzi la Diamond kwani Diamond kwa sasa haeleweki licha ya kujulikana amekuwa nauhusiano na wasanii wengi wa kike.

Ashley t
Ashley Toto
“Tunamshangaa pia huyu Ashley TOTO nae kuamua kuwa na mtu kama wa hivi hali ya kuwa anajua kitendo alichofanyiwa WEMA SEPETU, na hata kidonda chake hakijaisha nae anaingia na kukipigilia msumali kwa kutupia facebook picha kama ile, kwa kweli si kitendo kizuri hata kidogo ,

10448449_10204234852579074_2378879288900601868_o(1)
Hii ndio picha iliyomletea Ashley utata
hata kama wana mambo yao basi asingeyaweka wazi vile wakati anajua President wa wasafi kwa sasa haeleweki alimalizia shabiki  ambaye alitupa mkanda mzima  kilichotokea ujerumani  na kushuudia wawili hao wakifatana kuanzia ESSEN hadi  STUTTGART inasemekana Muigizaji huyo licha ya kuwa alishaudhuria kwenye show ya Diamond lakini alikwenda tena kwenye show ya pili ya President huyo wa wasafi.
252556_802769199744896_689800644821015011_n
Ashley kila alipotafutwa kuelezea maoni ya washabiki ili ikiwezekana aondoe picha hiyo hakuweza kujibu chochote, licha ya kuwa pichahiyo ina utata.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...