17 September, 2014

KINANA NA TIMU YAKE WALAKIWA NA MAELFU YA WANANCHI WA MAFIA, PWANI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda boti kutoka Nyamisati wilayani Rufiji kwenda wilayani Mafia kuendelea na ziara yake katika mkoa wa Pwani

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akipanda pia boti kutoka Nyamisati wilayani Rufiji kwenda wilayani Mafia kuendelea na ziara ya Kinana katika mkoa wa Pwani.


Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akisafiri na wananchi katika boti kutoka Nyamisati kwenda wilayani Mafia katika mkoa wa Pwani


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili Mafia na timu yake. nyuma yake ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye

Umati wa watu ukiwa umejazana kwenye bandari ya Mafia kumlaki Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyewasili Mafia kwa kutumia boti akitokea Nyamisati.

Baadhi ya waandishi wa vyombo mbali mbali vya habari walioambatana na Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na timu yake katika ziara ya Mkoa wa Pwani.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...