25 September, 2014

NDOA IMEMSHINDA AMBER ROSE

Amber ameomba talaka kwa mume wake aliyedumu naye kwa mwaka mmoja. Amber Rose aliwahi kuwa mpenzi wa Kanye, siku za hivi karibuni amekuwa karibu na meneja wake, Nick aliyekuwa mume wa Mariah Carey. 1411578478376_Image_galleryImage_24_AUGUST_2014_LOS_ANGELE
Rose anataka kuchukua udhibiti wa mtoto wao Sebastian, mwenye umri wa mwaka mmoja, kwa mujibu wa TMZ. Atamruhusu Wiz kumtembelea mwanae. TMZ imedai imeziona nyaraka za talaka ambazo zinaonesha kuwa wapenzi hao waliachana Jumatatu hii kwa kile kilichodaiwa tofauti zisizosuluhishika.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...