Mwenyekiti wa Bunge la katiba ndugu Samwel Sitta ameendelea kudhihirisha
kwa umma wa watanzania juu ya uwepo wa chama cha siasa kilichopata
usajili ndani ya muda mfupi sana cha ACT-Tanzania.
Huku akionekana kufurahishwa na ujio wa chama hiki Samwel Sitta
anasema..."Wageni wengine ni Katibu wa ACT-Tanzania Jimbo la UBUNGO,
chama hiki ni kipya ila kinakuwa kwa kasi sana...mwisho wa kunukuu" Hapa
alikuwa anafanya utambulisho kwa wageni wawili wa chama hiki cha
ACT-TANZANIA toka jimbo la UBUNGO waliofika kusikiliza uwasilishaji wa
katiba mpya inayopendekezwa.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Somebody was working in a hospital as an IT engineer, as the hospital is planning to set up a database of its patients and he knows some ...
No comments:
Post a Comment