Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo la aina yake na kusisimua, askari huyo ambae jina lake halikuweza kujulikana mara moja alisababisha ajali wakati akiongoza magari baada ya kuita magari kutoka pande mbili kwa wakati mmoja.
Picha hapo juu raia wakimlazimisha askari huyo kuingia kwenye bajaji ili kumfikisha kituo cha polisi.
Wananchi wamepinda! Ile dhana ya polisi kuogopwa siku izi haipo!! Loh, kitakachoendelea ntakujuza endelea kutembelea JoJoTheFighter kwa habari makini za burudani, maisha, watu maarufu, vioja n.k
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo la aina yake na kusisimua, askari huyo ambae jina lake halikuweza kujulikana mara moja alisababisha ajali wakati akiongoza magari baada ya kuita magari kutoka pande mbili kwa wakati mmoja.
Picha hapo juu raia wakimlazimisha askari huyo kuingia kwenye bajaji ili kumfikisha kituo cha polisi.
Wananchi wamepinda! Ile dhana ya polisi kuogopwa siku izi haipo!! Loh, kitakachoendelea ntakujuza endelea kutembelea JoJoTheFighter kwa habari makini za burudani, maisha, watu maarufu, vioja n.k
No comments:
Post a Comment