Polisi mahaba waliofukuzwa kazi kwa kosa la kunyonyana ulimi warudishwa kazini kwa agizo la IGP. Inasemekana hakuna sheria yeyote inayokataza watumishi wa serikali au askari kuwa na uhusiano wa kimapenzi kazini na sio kosa kutongoza au kuwa na mpenzi sehemu yako ya kazi ili mradi usilazimishe wala kutumia cheo chako kumshawishi mtu kimapenzi. Kwa maana hiyo askari aliyeisambaza ile picha ndiyo amepewa onyo kali kwa kosa la kuharibu faragha ya wenzake.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
No comments:
Post a Comment