18 October, 2014

BARUA YA BASATA KUHUSU KIBALI CHA TI NA DAVIDO KWENYE FIESTA 2014


Nakala iliyopachikwa hapo chini inaonesha barua yenye majibu ya Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa Prime TIme Promotions kuhusu maombi ya kibali cha kumwingiza msanii Clifford Harris (TI) na David Adedeji Adeleke (Davido) nchini kwa ajili ya tamasha la Fiesta 2014 lililopangwa kufanyika katika viwanja vya Leaders Club tarehe 18 Oktoba, 2014.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...