Miss Tanzania Huyo ambae awali wadau wengi walisema shindano la Mwaka huu limekuwa laki pekee kutokana na mshindi huyo Kwanza Kuongea Kifaransa wakati wa kujibu maswali, Pili umri wa Miss Tanzania kutajwa kuwa ana Miaka 23 ilhali Mama yake anasema ana Miaka 29, Huku Baba yake akisema ana miaka 18 na yeye mwenye akisema ana Miaka 18 huku kituko kingine kikitajwa kuwa katika Shindano hilo Ni Miss Pekee Kuvaa Gauni la Kwendea Kwenye Send Off....
..Sasa Na Jana hiyohiyo Ikatokea picha nyingine inayomuonyesha Miss Huyo ambae inasemekana ana miaka 18 akiwa katika Picha ya Pamoja na Mwanae wakati wa Sherehe ya Mahafali yake huko Ng'ambo Kwa Obama...Mtoto huyo anayeaminika kuwa ni wa Miss Tz 2014 ana umri wa Miaka 8 sasa hapa umri umeendelea Kumtesa Miss Tz 2014 kuwa Miss wa Kwanza Kupingwa na Asilimia 100 ya Watanzania WoteNever afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
My Sister and I lost our parents at the age of 4-5 years through CAR ACCIDENT. After our parents death my wicked uncle and his wife inher...
No comments:
Post a Comment