28 October, 2014

SIKU RAIS JOSEPH KABANGE KABILA ALIPOSAFIRI KWA NJIA YA BARABARA TOKA KISANGANI, BUTEMBO MPAKA GOMA.


Pamoja na Taiga la Congo DRC kuwa na Utajiri mkubwa Suala la Miundo mbinu limekuwa kitendawili kwa Congo DRC.
Katika safari hiyo Hypolite Joseph Kanambe aliendesha gari Mwenyewe!!!

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...