Mhe Zitto Kabwe
Haya ni maswali mazito kutoka mhe Zitto Kabwe kwenda mhe Mbowe hakika haya maswali yanahitaji majibu haraka kutoka mhe Mbowe mwenyekiti wa Chadema ili kuondoa maswali kutoka kwa wapenzi wa chadema
Hiii ni kauli ya ZITTO KABWE kwenda kwa mhe MBOWE anaanza kwa kusema hivi!!!
“Mimi nina rekodi ya kujivunia … nimeibadilisha Kigoma na kusimamia ujenzi wa miundo mbinu ya barabara, madaraja na viwanja vya ndege. Nimewezesha wakulima kuwa na hifadhiya jamii, bimna ya afya. Je, yeye kafanya nini Hai?” aliuliza Zitto.
Zitto aliendelea kusema "Nimeibua hoja za maana Bungeni zikiwemo ya kubadili sheria kwa manufaa ya nchi. Yeye kafanya nini Bungeni kwa manufaa ya nchi tangu aingie?Ametoa hoja gani binafsi? Ametunga sheria gani binafsi?

mhe Freeman Mbowe
No comments:
Post a Comment