04 December, 2014

ESCROW: BILIONEA NA MMILIKI WA MITAMBO WA KUFUA UMEME AMESEMA HATAKUBALI HATA KIDOGO KUTAIFISHWA MITAMBO YAKE...




Bilionea na mmiliki wa mitambo wa kufua umeme wa 

Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), 

Harbinder Singh Sethi,

amesema hatakubali hata kidogo kutaifishwa mitambo yake 

ya kuzalisha umeme ya IPTL kama ilivyopendekezwa na 

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) mjini 

Dodoma 

hivi karibuni. 

Nini maoni yako juu ya hii kauli yake ?

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...