04 December, 2014

MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO



Mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo jijini Mwanza, imesababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo kama inavyoonekana pichani.
Baadhi ya
wakazi wa jiji hilo hawana sehemu za kukaa baada ya maji kuingia kwenye
nyumba zao na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali.


 
 

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...