04 December, 2014

TWEETS 3 ZA DK. WILBROD SLAA KUHUSIANA NA KASHFA YA ESCROW


Tulisema hili la Escrow mapema.
Akaunti nyingi zilizopokea hela zilikuwa ni mpya, nyingine hazikuwa hata
na vitabu vya hundi. Hatuliachi….”
  
-“… Ni jambo la kusikitisha sana
kuona hata benki zinazomilikiwa na madhehebu ya dini sasa zimekuwa
sehemu ya kusambaza fedha zilizoibwa…’.
 
-‘…Fisadi anapoachia ngazi bila
kufikishwa mbele ya sheria ni sawa na kupewa mapumziko kwenda kutumia
alichofisadi. Kuachia ngazi tu haitoshi…’.
 
— Dr Wilbrod Slaa (@wilbrodslaa) November 23, 2014

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...